Kama katika hali ya amani aina zote za njia halali za kudai haki zimeporwa kwa mtutu wa bunduki na majeshi ya ulinzi na usalama twende njia mbadala

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
KAMA KATIKA HALI YA AMANI AINA ZOTE ZA NJIA HALALI ZA KUDAI HAKI ZETU ZIMEPORWA KWA MTUTU WA BUNDUKI NA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA YANAYOAMULIWA NA CHAMA TAWALA BASI HATUNA NAMNA ZAIDI YA KULAZIMIKA KUZIDAI HAKI ZETU KIJESHI KWA SABABU BUSARA YA DEMOKRASIA, SHERIA NA DIPLOMASIA ZIMESHINDWA KULETA HAKI.

Tukipambana kutetea ushindi wa haki zetu kupitia sanduku la kura matokeo yake tunajikuta ushindi wa haki yetu imeporwa kwa mtutu wa bunduki na majeshi ya ulinzi na usalama yanayotii amri ya chama tawala chenye tume batili ya uchaguzi.

Tukitetea kisheria haki yetu mahakamani tunajikuta haki yetu imeporwa kwa shinikizo kutoka ofisi ya rais ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambayo mamlaka ya maamuzi yake yanalindwa kisheria na katiba mbovu isiyo ya haki.

Kutokana na katiba mbovu rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anavunja sheria za katiba ambazo hazina uwezo wa kumhukumu makosa yake.

Kwa maksudi ofisi ya rais inadhulumu haki za raia kwa kuweka vikwazo dhidi ya madai halali ya katiba mpya ya haki yenye mamlaka halali ya kuweka mahakama huru ya haki, majeshi huru ya haki ya ulinzi na usalama, tume huru ya haki ya uchaguzi, ofisi huru ya haki ya msajili wa vyama vya siasa na taasisi huru za haki za serikali ya kiraia zisizoamuriwa kidikteta na ofisi ya rais.

Raia wamejikuta hawana utetezi wa haki zao za msingi kwenye maisha yao. Badala ya kuongozwa kwa sheria za haki raia wamejikuta kulazimika kutawaliwa kidikteta na kinyonyaji wakiwa ndani ya maumivu makali yanayozidi yale ya kutawaliwa kikoloni.

Yeyote anayeonekana ni kinga ya haki dhidi ya dhuluma anafungwa na ikiwezekana anauwawa. Raia wasio na hatia ambao wapo kwenye mazingira ya haki yasiyokusudia kushuhudia ushahidi wa haki kwa bila kujitambua wamejikuta wamejihatarisha kifungo gerezeni na wengine kuuwawa.

Kwa hiyo hata raia asipopambana kudai haki zake atajikuja siku moja yupo gerezani au atalazimika kuuwawa kutokana na hofu ya utawala wa kidikteta kuona kuwa raia huyo yupo kwenye mazingira ya kushuhudia ushahidi wa haki.

Ikiwa kama sisi raia tukikaa kimya tunafungwa gerezani na kuuwawa! Na tukidai haki zetu tunafungwa gerezani na kuuwawa basi ni bora tudai haki zetu kijeshi ili kuuzuia udikteta kufanya mauaji dhidi yetu.

Hakuna namna sasa tunalazimika kijeshi kudai haki zetu kivita ili kuzuia vifo vyetu ikiwa pamoja na kuepukana kufungwa magereza.

Kama fursa za demokrasia, sheria na diplomasia zimeshindwa kuleta haki nchini Tanzania basi hakuna mbadala wa kuleta haki nje ya mbinu ya kijeshi inayolazimisha vita ya kuleta haki yenye amani halisi na siyo hii amani yenye dhuluma.

Umefika wakati unaolazimisha vyama vya kisiasa vya Tanzania kuunda, kumiliki na kuratibu majeshi yao ya ulinzi na usalama yatakayowajibika kutetea haki za raia na za vyama vya kisiasa zinazoporwa na majeshi ya ulinzi na usalama ya serikali.

Na kamwe hatuwezi kutetea haki zetu kwa kutumia nguvu ya umma kwa njia ya maandamano ambayo yatasababisha majeshi ya ulinzi na usalama yanayoamriwa na chama tawala kuuwa raia wenye mamlaka ya haki ya kufanya maamuzi kupitia sunduku la kura.

Tuungane kijeshi kutetea haki zetu kwa sababu wote tunahitaji kuishi.
 
Waliopigwa risasi kule Arusha mmewatelekeza kwa kuwaaminisha wao ni makamanda ...sasa undeni vikundi vya kigaidi ili visambaratishwe.
Cuf walikuwa na blue guards ila wakapotea kwa njaa.
Njaa hiyo hiyo imewapoteza Red brigade na miwani zao za kuchomelea.

Magufuli kawabana kisiasa na mkija kivita ndio atawatokomeza kabisa.
 
Waliopigwa risasi kule Arusha mmewatelekeza kwa kuwaaminisha wao ni makamanda ...sasa undeni vikundi vya kigaidi ili visambaratishwe.
Cuf walikuwa na blue guards ila wakapotea kwa njaa.
Njaa hiyo hiyo imewapoteza Red brigade na miwani zao za kuchomelea.

Magufuli kawabana kisiasa na mkija kivita ndio atawatokomeza kabisa.
Huyo shetani atashindwa tu!Siku akianguka watz watamzomea sana!
 
Na wakati unahimiza hivyo kumbuka sio wote wenye msimamo kama wako hivyo wapo walio na aibu ya uoga au kuilinda kazi hivyo kwenye muamko ni wachache sana watakao jitokeza
 
Cdm walikuwa kwenye njia sahihi ya kudai haki zao kwa mashinikizo, kwa bahati mbaya ikampokea Lowassa na Sumaye eti wakawa wanawafundisha siasa za kistaarabu na kuachana na uanaharakati. Matokeo yake hizo siasa za kikondoo zimechukuliwa na chama tawala kama ni udhaifu wa kisiasa na wanafanyiwa chochote kwa propaganda eti cdm haina sera. Cdm endeleeni kuwakumbia hao makada wa ccm Lowassa na Sumaye na kuwashirikisha kwenye mipango yenu, huku wakiwatuliza kwa faida ya ccm.

Tokea lini mabadiliko yakaletwa na wazee, hususani wazee toka ccm waliokuwa wanaratibu mifumo miovu dhidi ya wapinzani? Mezeshweni siasa za kikondoo za hao wazee wanaopokea mshahara kila mwisho wa mwezi toka serekalini, na zaidi ya 75% ya mali wanazomiliki wamezipata kwa njia zisizo halali kama mtafanya lolote bila hao wazee kuwazuia.
 
Hilo halihitaji mijadala,huwezi kuzuia mafuriko. Karibu makundi yote ya jamii yanapata kadhia Siku ya Siku, kijani hakitavalika si mbali. Tu zidi kumwombea vichaa na Kiburi kizidi panda.
 
Cdm walikuwa kwenye njia sahihi ya kudai haki zao kwa mashinikizo, kwa bahati mbaya ikampokea Lowassa na Sumaye eti wakawa wanawafundisha siasa za kistaarabu na kuachana na uanaharakati. Matokeo yake hizo siasa za kikondoo zimechukuliwa na chama tawala kama ni udhaifu wa kisiasa na wanafanyiwa chochote kwa propaganda eti cdm haina sera. Cdm endeleeni kuwakumbia hao makada wa ccm Lowassa na Sumaye na kuwashirikisha kwenye mipango yenu, huku wakiwatuliza kwa faida ya ccm.

Tokea lini mabadiliko yakaletwa na wazee, hususani wazee toka ccm waliokuwa wanaratibu mifumo miovu dhidi ya wapinzani? Mezeshweni siasa za kikondoo za hao wazee wanaopokea mshahara kila mwisho wa mwezi toka serekalini, na zaidi ya 75% ya mali wanazomiliki wamezipata kwa njia zisizo halali kama mtafanya lolote bila hao wazee kuwazuia.

Hii siyo hoja!

Kupokelewa kwa Lowasa Chadema hakuwapi uhalali wababe kuonea wenzao!.

Chadema wanaweza kabisa kudismantle chama chao, Mbowe akaachana na siasa akalea wajukuu, Lema akaenda zake kuwa Mkulima, Lissu akaamua kutafuta kazi Botswana, na wanachama wengine wakaamua kugive up LAKINI JIULIZE JE IKISHATOKEA HIYO HALI NI HEALTHY KWA TAIFA?

Maana vitu kama vile demokrasia, fairness katika nchi, mawazo mbadala si kwa faida ya Chadema au ACT pekee bali ni kwa faida ya Taifa zima.

Jiulize, Je Taifa litakuwa na hali gani bila ya vyama mbadala?
 
Umenena kama mzalendo na msomi uliyeelimika na bila kuonesha ukada nawahurumia wanaotetea Leo hawaangalii kesho mwita waitara alikuwa chadema Leo yuko ccm hata iweje demokrasia ni kwa kizazi kijacho
Hii siyo hoja!

Kupokelewa kwa Lowasa Chadema hakuwapi uhalali wababe kuonea wenzao!.

Chadema wanaweza kabisa kudismantle chama chao, Mbowe akaachana na siasa akalea wajukuu, Lema akaenda zake kuwa Mkulima, Lissu akaamua kutafuta kazi Botswana, na wanachama wengine wakaamua kugive up LAKINI JIULIZE JE IKISHATOKEA HIYO HALI NI HEALTHY KWA TAIFA?

Maana vitu kama vile demokrasia, fairness katika nchi, mawazo mbadala si kwa faida ya Chadema au ACT pekee bali ni kwa faida ya Taifa zima.

Jiulize, Je Taifa litakuwa na hali gani bila ya vyama mbadala?
 
Waliopigwa risasi kule Arusha mmewatelekeza kwa kuwaaminisha wao ni makamanda ...sasa undeni vikundi vya kigaidi ili visambaratishwe.
Cuf walikuwa na blue guards ila wakapotea kwa njaa.
Njaa hiyo hiyo imewapoteza Red brigade na miwani zao za kuchomelea.

Magufuli kawabana kisiasa na mkija kivita ndio atawatokomeza kabisa.
Usiombe Vita hata siku moja,na usifikirie kwa vile JPM Ana jeshi basi Mambo yatakuwa marahisi kwake,no.Mambo yanaweza kwenda tofauti.Tutapoteza ndugu na jamaa wengi.Mungu atusaidie tusifike huko.
 
Hii siyo hoja!

Kupokelewa kwa Lowasa Chadema hakuwapi uhalali wababe kuonea wenzao!.

Chadema wanaweza kabisa kudismantle chama chao, Mbowe akaachana na siasa akalea wajukuu, Lema akaenda zake kuwa Mkulima, Lissu akaamua kutafuta kazi Botswana, na wanachama wengine wakaamua kugive up LAKINI JIULIZE JE IKISHATOKEA HIYO HALI NI HEALTHY KWA TAIFA?

Maana vitu kama vile demokrasia, fairness katika nchi, mawazo mbadala si kwa faida ya Chadema au ACT pekee bali ni kwa faida ya Taifa zima.

Jiulize, Je Taifa litakuwa na hali gani bila ya vyama mbadala?
China haina vyama mbadala na imeendelea
 
Usiombe Vita hata siku moja,na usifikirie kwa vile JPM Ana jeshi basi Mambo yatakuwa marahisi kwake,no.Mambo yanaweza kwenda tofauti.Tutapoteza ndugu na jamaa wengi.Mungu atusaidie tusifike huko.
Mtahadharishe mleta mada
 
Yani akili za wapinzani huwa sijui zikoje nikama zime vilia damu au zinauvundo!

Mnawaza madaraka tu wakati watanzania hawana shida na kelele zenu hizo.
 
Vijana wengi wakisikia recruitment ya hii kitu mtakosa pa kuwaweka maana wengi wamechoka maisha ya hovyo chini ya ccm
 
Bora kufa ukiwa unapambana, kuliko kufa ukiwa umepiga magoti.

WanaCCM wanalia, wapinzani wanalia, watumishi wa umma na sector binafsi wanapiga mayowe, wananchi ndio usiseme.
 
Taifa langu, taifa langu!

Nani akuokoe na haya mambo yanayotengenezwa na walio madarakani, na wasio madarakani?
 
Back
Top Bottom