tufahamishane
Member
- Jun 22, 2024
- 28
- 30
Salaam wana jamvi mimi ni mzalendo ambaye muda wore najivunia kuwa M Tanzania. Nimekuwa nikifatilia Hali ya nchi ya Kenya kusema kweli Kenya inasikitisha
1: Kenya haiheshimu Rais
2: Uhuru wa kuongea umepitiliza kiasi kuwa kila mtu anaweza kumtukana kiongozi wa nchi kwa kusingizia Katie
Nalazimika kusema kama katiba Mpya itakuja kuleta vurugu kama katiba Mpya inakuja kuleta mkanganyiko wa taifa kama tunayoshuhudia Kenya ni heri tubaki na katiba yetu ambayo imetuongoza toka uhuru mpaka Leo
Natamani kuendelea kuiona Tanzania ambayo itaendelea kuwa heshimu viongozi na kuwa thamini
Natamani kuendelea kuiona Tanzania Yenye Amani upendo Amani na furaha
Mwisho watanzania tusikubari kugawanywa na watu wenye Nia mbaya
Na
1: Kenya haiheshimu Rais
2: Uhuru wa kuongea umepitiliza kiasi kuwa kila mtu anaweza kumtukana kiongozi wa nchi kwa kusingizia Katie
Nalazimika kusema kama katiba Mpya itakuja kuleta vurugu kama katiba Mpya inakuja kuleta mkanganyiko wa taifa kama tunayoshuhudia Kenya ni heri tubaki na katiba yetu ambayo imetuongoza toka uhuru mpaka Leo
Natamani kuendelea kuiona Tanzania ambayo itaendelea kuwa heshimu viongozi na kuwa thamini
Natamani kuendelea kuiona Tanzania Yenye Amani upendo Amani na furaha
Mwisho watanzania tusikubari kugawanywa na watu wenye Nia mbaya
Na