gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,182
- 564
Ndoto ya mwendawazimuHawana muda mrefu watakuwa yatima. Watarudi kwenye Chama huku wakipiga magoti wakiomba msamaha.
Na nitafurahi wakiwasamehe lakini wawaambie wakatafute Chama chengine chakwenda.