Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,405
- 30,908
Ndugu zangu wakatoliki hebu tulitafakari kanisa letu kwa hii miaka mitano namna lilivyoshindwa kukemea maovu mbalimbali yaliyofanywa na serikali je Kuna haja ya kwenda kutubu kwao Kama zamani au ndio Hawa masnichi watatuchoma na kuuza madhaifu yet kwa watesi wetu?
Ukiona viongozi wa kanisa wanacompromise na state ujue hamkani si shwari Tena.
Imagine mfano Lissu akaungame kwa Pengo!
Kwakweli kanisa limetuangusha mno Kama waumini wake. Japo binafsi nilishaachana na hilo kanisa.
Mkulungwa makusudi
Ukiona viongozi wa kanisa wanacompromise na state ujue hamkani si shwari Tena.
Imagine mfano Lissu akaungame kwa Pengo!
Kwakweli kanisa limetuangusha mno Kama waumini wake. Japo binafsi nilishaachana na hilo kanisa.
Mkulungwa makusudi