figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Salaam,
Tangu rais Magufuli aingie Madarakani, TAKUKURU Hapajatulia kabisa. Kama Diwani atatenguliwa, atakuwa ni Boss wa tatu kutenguliwa tangu Rais Magufuli aingie Madarakani.
Dkt Edward Hoseah alitenguliwa kutokana na rais na kutorishwa na namna taasisi hiyo ilivyokua ikitekeleza wajibu wake katika kukabiliana na rushwa hususani kwenye upotevu wa mapato ya serikali katika bandari ya Dar es salaam. Akapewa Mlowola. Je, hali imebadilika tangu Hoseah atenguliwe?
Valentino Mlowola akatemwa na akapewa ubalozi. Kwamba alishindwa kuchukua hatua dhidi ya madudu yaliyotokea kwenye hotel moja huko Musoma, sababu nyingine ni kushindwa kushughulikia migogoro ya ardhi baada ya hapo akamuweka mchapa kazi Diwani. Je, kuna kilichofanyika tangu atenguliwe?
6 Sep 2018 Kamishna wa Polisi Diwani Athuman aliteuliwa kushika Usukani wa TAKUKURU, hadi sasa hajamaliza hata mwaka. Hakuna binadamu aliyekamilika.. Naomba apewe nafasi ya kujifunza sababu bado amezungukwa na watu wachafu manyankuzi na Majambazi ya Kijani, mpe muda ajifunze jinsi ya kudeal nao kwa akili.
Ukimtoa na huyu ambaye hajamaliza hata mwaka, watu watahoji vetting inayofanywa na Taasisi ya rais dhidi ya wateule wako.
Mimi nashauri umuondoe Kipilimba ndio anayekuangusha. Anakuletea habari za uongo ili aogopwe na watendaji wako.
Dr Modestus Kipilimba mpangie kazi nyingine au arudi NIDA kwani tangu atoke mambo yamekwama na malalamiko yamekuwa mengi.
Tafuta mcha Mungu, mchapa kazi na mzalendo ndo umpe nafasi ya Kipilimba ndo utaona ufanisi wa Sekta zote za Serikali.
Dr. Kipilimba ameshindwa kujikita kwenye swala la Uchumi ili nchi iongeze mapato badala yake amejikita kwenye maswala ya Siasa ya nchi. Angalia sasa Mikataba mibovu, utoroshwaji wa madini, wanyama.
Sakata la Korosho dhidi ya Kampuni toka Kenya, ilikuwa sababu tosha kumuondoa Kapilimbia kwenye Ofisi za Umma. Tundu Lissu kupigwa risasi alitakiwa ajiuzulu.
Hatuwezi kukubali Musiba atuamlie cha kufanya. Anatumwa kuchafua watu ili wakifukuzwa ionekane ni haki. Mtazua taharuki. Kwa Athumani Diwan ni sawa na Kujipalia mkaa. Athuman ni mzee wa Vitendo si Maneno.
Tangu rais Magufuli aingie Madarakani, TAKUKURU Hapajatulia kabisa. Kama Diwani atatenguliwa, atakuwa ni Boss wa tatu kutenguliwa tangu Rais Magufuli aingie Madarakani.
Dkt Edward Hoseah alitenguliwa kutokana na rais na kutorishwa na namna taasisi hiyo ilivyokua ikitekeleza wajibu wake katika kukabiliana na rushwa hususani kwenye upotevu wa mapato ya serikali katika bandari ya Dar es salaam. Akapewa Mlowola. Je, hali imebadilika tangu Hoseah atenguliwe?
Valentino Mlowola akatemwa na akapewa ubalozi. Kwamba alishindwa kuchukua hatua dhidi ya madudu yaliyotokea kwenye hotel moja huko Musoma, sababu nyingine ni kushindwa kushughulikia migogoro ya ardhi baada ya hapo akamuweka mchapa kazi Diwani. Je, kuna kilichofanyika tangu atenguliwe?
6 Sep 2018 Kamishna wa Polisi Diwani Athuman aliteuliwa kushika Usukani wa TAKUKURU, hadi sasa hajamaliza hata mwaka. Hakuna binadamu aliyekamilika.. Naomba apewe nafasi ya kujifunza sababu bado amezungukwa na watu wachafu manyankuzi na Majambazi ya Kijani, mpe muda ajifunze jinsi ya kudeal nao kwa akili.
Ukimtoa na huyu ambaye hajamaliza hata mwaka, watu watahoji vetting inayofanywa na Taasisi ya rais dhidi ya wateule wako.
Mimi nashauri umuondoe Kipilimba ndio anayekuangusha. Anakuletea habari za uongo ili aogopwe na watendaji wako.
Dr Modestus Kipilimba mpangie kazi nyingine au arudi NIDA kwani tangu atoke mambo yamekwama na malalamiko yamekuwa mengi.
Tafuta mcha Mungu, mchapa kazi na mzalendo ndo umpe nafasi ya Kipilimba ndo utaona ufanisi wa Sekta zote za Serikali.
Dr. Kipilimba ameshindwa kujikita kwenye swala la Uchumi ili nchi iongeze mapato badala yake amejikita kwenye maswala ya Siasa ya nchi. Angalia sasa Mikataba mibovu, utoroshwaji wa madini, wanyama.
Sakata la Korosho dhidi ya Kampuni toka Kenya, ilikuwa sababu tosha kumuondoa Kapilimbia kwenye Ofisi za Umma. Tundu Lissu kupigwa risasi alitakiwa ajiuzulu.
Hatuwezi kukubali Musiba atuamlie cha kufanya. Anatumwa kuchafua watu ili wakifukuzwa ionekane ni haki. Mtazua taharuki. Kwa Athumani Diwan ni sawa na Kujipalia mkaa. Athuman ni mzee wa Vitendo si Maneno.
Tundu Lissu: Afande Sirro na Kipilimba, Vijana wa Toyota Premio namba T460CQV Mliowatuma kunifuatilia nimewakaba
Heshima kwenu Wakuu, Leo Tundu Lissu ametoa ya Moyoni kwamba anawindwa na kufuatiliwa na vyombo vya Usalama. Amewasihi Vyombo vya Usalama vipambane na Wahalifu sio Wanaoikosoa Serikali "Naomba kabla sijaanza Mazungumzo yangu nimuombe Mkuu wa idara ya Usalama wa Taifa anaitwa Kipilimba au...
www.jamiiforums.com
Hatimaye: Serikali ya Tanzania yafuta mkataba wake na Kampuni ya Kenya (Indo Power Solutions LTD) iliyojinasibu kununua Korosho kwa Bil 400
Serikali imeufuta mkataba huo uliowahi kutajwa kuwa na thamani ya Shilingi za Kitanzania Bilioni 400 Mwezi Februari mwaka huu Serikali iliweka wazi kuwa imeingia mkataba na Kampuni ya kutoka nchini Kenya ya Indo Power Solutions Ltd iliyojinasibu kuwa na uwezo wa kununua Korosho tani 100,000...
www.jamiiforums.com