KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Lowassa alipata kusema yeye Mwenyewe kuwa Kikwete ni Rafiki yake Mkubwa na hawakukutana Barabarani sasa sisi tunajua kabla ya Lowassa kusema kuwa Suala la Richmondi Walikuwa pamoja!!
Nani asiyehua kwamba Kikwete ndiye aliyekuwa anampa maelekezo Lowassa ??
Hapa wote Hao Marafiki hawana uzalendo kwa Taifa , Wameingiza Taifa katika mgao wa umeme na kuua mitaji ya maskini!!!
Lowassa hafai kuwa Rais kwa sababu ni rafiki yake Mkubwa na JK na wamehujumu Uchumi wa Nchi!!
Hapa ni kupigania Katiba mpya ili kuwapeleka akina Lowassa ,Rostam, Kikwete Mahakamani!!
Ni wazi kuwa akina Fredy Lowassa wanatanua na Mali za Wizi, akina ASSAD Aziz Wanakamatwa na 92.2Kg dawa za kulevya na hakuna hatua.
WanaCCM wengi wanaiba maliza Umma halafu wanazitumia kutunyanyasa
Ni bora Wachungaji wanao Mkaribisha Lowasa mkaanza na toba na Malipizo vinginevyo mnapokea sdaka zinazo tokana na kazi ya wizi!!!
Nani asiyehua kwamba Kikwete ndiye aliyekuwa anampa maelekezo Lowassa ??
Hapa wote Hao Marafiki hawana uzalendo kwa Taifa , Wameingiza Taifa katika mgao wa umeme na kuua mitaji ya maskini!!!
Lowassa hafai kuwa Rais kwa sababu ni rafiki yake Mkubwa na JK na wamehujumu Uchumi wa Nchi!!
Hapa ni kupigania Katiba mpya ili kuwapeleka akina Lowassa ,Rostam, Kikwete Mahakamani!!
Ni wazi kuwa akina Fredy Lowassa wanatanua na Mali za Wizi, akina ASSAD Aziz Wanakamatwa na 92.2Kg dawa za kulevya na hakuna hatua.
WanaCCM wengi wanaiba maliza Umma halafu wanazitumia kutunyanyasa
Ni bora Wachungaji wanao Mkaribisha Lowasa mkaanza na toba na Malipizo vinginevyo mnapokea sdaka zinazo tokana na kazi ya wizi!!!