Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ni mambo mengi ya kustaajabisha aliyoyafanya JK kwa kushirikiana na CCM yake ila haya mambo yanashangaza
sana, kwamba:
Habari hizi zinajulikana kila kona kwakuwa sasa hivi JK ameanza kuandamwa kwa kukiuka kubaliano la wizara ya fedha.
sana, kwamba:
- pesa za EPA kupitia KAGONDA alizikwapua kwa ajiri ya kuwagawia waislam ili wamuunge mkono kwakuwa walishakitupa ccm na kujiunga na CUF,
- aliwaahidi waislam Mahakama ya Kadhi, Organization of the Islamic Conference (OIC) kisha akawatosa kwa kukumbana na mashinikizo
- aliwaahidi pia kuwapa wizara nyeti ikiwemo ya fedha, mambo ya ndani, ulinzi na usalama na ma makatibu wakuu pia.
- RICHMOND anaijua vizuri kuliko Lowasa na Lowassa ni kafara (lkn haimaanishi kuwa Lowassa ni msafi)
- anajua mipango yote ya upotevu wa Dr. Balali
Habari hizi zinajulikana kila kona kwakuwa sasa hivi JK ameanza kuandamwa kwa kukiuka kubaliano la wizara ya fedha.