Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,415
- 85,842
Wana CC,
Naomba ikumbukwe kuwa tuna watu makini sana humu ndani, wenye uelewa tofauti tofauti, tuna wasomi na wasio wasomi, wenye busara na wasio na busara. Haya sasa kama Tungeombwa leo hii tupendekeze majina ya wana JF kuunda serikali (whether ni ya Muungano au ya Upekee), ungependa nani awe nani? Tuanze na Wizara na Wakurugenzi tu, tuone uwezo wetu wa kuunda Serikali. Simaanishi tuipindue iloko madarakani.........
Je Mwana JF mwenzetu Prof Ana Tibaijuka abaki na wizara yake? Ni mfano tu
Karibuni
Naomba ikumbukwe kuwa tuna watu makini sana humu ndani, wenye uelewa tofauti tofauti, tuna wasomi na wasio wasomi, wenye busara na wasio na busara. Haya sasa kama Tungeombwa leo hii tupendekeze majina ya wana JF kuunda serikali (whether ni ya Muungano au ya Upekee), ungependa nani awe nani? Tuanze na Wizara na Wakurugenzi tu, tuone uwezo wetu wa kuunda Serikali. Simaanishi tuipindue iloko madarakani.........
Je Mwana JF mwenzetu Prof Ana Tibaijuka abaki na wizara yake? Ni mfano tu
Karibuni
Last edited by a moderator: