Ile manifesto aliyonadi 2020 mlimzika nayo?! 😅😅😅JPM yupo kaburini huu mwezi wa saba unakwenda wa nane.
Ile manifesto aliyonadi 2020 mlimzika nayo?! 😅😅😅JPM yupo kaburini huu mwezi wa saba unakwenda wa nane.
Copy anayo Rais Samia anaifanyia kazi.Ile manifesto aliyonadi 2020 mlimzika nayo?! 😅😅😅
Nielekeze kifungu, ntafanya fasta! Au Vice Versa?!Kumbusha kaka....edit pia
Kwani tulijua mama Samia atakuwa Rais? Ya Mungu mengi. Uwezi jua. Siku moja tunampata Rais toka nje ya baraza la Mawaziri. Tunawatu wapo wanasifa. Anaweza tokea Bungeni, akatokea katika wakuu wa Mikoa, au Akatokea katika Mabalozi na kadhalika.Ngoja tuone....nje ya baraza la mawaziri atoke rais? Haaa sijui
Namshauri tu kulingana na utamaduni wa CCM inaeleweka wazi baada ya Rais Samia kumaliza muhula wake wa pili 2030 atakayepokea kijiti ni mgombea kutoka kwa Wagalatia.
Hivyo namshauri January akate shauri mapema kama Joshua.
Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Rais Samia yatakiwa amuondoshe January kutoka katika wizara nishati. Badala yake angempa nafasi Profesa Palamagamba.Kwani tulijua mama Samia atakuwa Rais? Ya Mungu mengi. Uwezi jua. Siku moja tunampata Rais toka nje ya baraza la Mawaziri. Tunawatu wapo wanasifa. Anaweza tokea Bungeni, akatokea katika wakuu wa Mikoa, au Akatokea katika Mabalozi na kadhalika.
Shida uteuzi wa viongozi sikuhizi, daaah! Hata sielewi, umekuwa wa kufurahishana na si uwezo wa mtu, uzoefu na utendaji kazi. Kwa sasa Tunaandaa viongozi wabovu zaidi uliko miaka ya nyuma.
Zamani DC kweli ni DC, Mkuu wa Mkoa kweli ni RC, Balozi kweli ni balozi. Sidhani kama hata vetting inafanywa kisawasawa. Na viongozi hawako serious kutatua kero za wananchi. Yangu macho....Tanzania yangu nakupenda.