Wamekosa mipango wamekosa usiriazi,wamepoteza mapato mengi mnooKama hawajakwalifai basi hawastahili kuwepo huko!
Utazungumziaje kombe la dunia bila kutaja mataifa kama Brazil,Germany,Italia, usiangalie mchezaji mmoja mmoja angalia timu nzima pamoja na mafanikio yake.Italy kitu gani?mbona mataifa ya kufanya mechi ziwe tamu yako mengi tu? acha kukariri ujinga