Head Gelo
Senior Member
- Oct 7, 2018
- 122
- 210
Naandika baada ya kufanya uchungu wa kina Sana
Wapendwa tukiacha Yale mapenzi ya sekondari ,tukaja kwenye utu uzima yaani kuanzia miaka 27+ Ni ngumu sana kwa mwanamke kumpenda mwanaume asiye na hela( jamani mtanipiga mawe mtasema sijui vipi lakini ukweli Ni kwamba Ni ngumu kumpenda mwanaume ambaye Hana uwezo hata wa vocha)
Mwanaume ambaye hawezi hata kukusaidia elfu 20 ya kusukia ebo Mara moja moja
Mwanaume ambaye awezi kukurushia hata buku mbili ukaungia kifurushi Cha chuo
Mwanaume ambaye ukimtext baby sijanywa tea anashindwa kukutumia hata buku tano
Mwanaume wa hivi kupendwa Ni ngumu sana
Mwanamke akiwa amejitosheleza kiuchumi hapo anaweza kumchukua mwanaume hata Kama Hana uwezo kwa sababu anakuwa amebakiza hitaji la kihisia
WANAUME TAFUTENI PESA ,OVA
Wapendwa tukiacha Yale mapenzi ya sekondari ,tukaja kwenye utu uzima yaani kuanzia miaka 27+ Ni ngumu sana kwa mwanamke kumpenda mwanaume asiye na hela( jamani mtanipiga mawe mtasema sijui vipi lakini ukweli Ni kwamba Ni ngumu kumpenda mwanaume ambaye Hana uwezo hata wa vocha)
Mwanaume ambaye hawezi hata kukusaidia elfu 20 ya kusukia ebo Mara moja moja
Mwanaume ambaye awezi kukurushia hata buku mbili ukaungia kifurushi Cha chuo
Mwanaume ambaye ukimtext baby sijanywa tea anashindwa kukutumia hata buku tano
Mwanaume wa hivi kupendwa Ni ngumu sana
Mwanamke akiwa amejitosheleza kiuchumi hapo anaweza kumchukua mwanaume hata Kama Hana uwezo kwa sababu anakuwa amebakiza hitaji la kihisia
WANAUME TAFUTENI PESA ,OVA