johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,752
- 139,552
Najiuliza tu kwa kuwa wakati wa kampeni tuliambiwa katika maeneo mengi ilani ya CCM imetekelezwa kwa 100% na maeneo machache kwa zaidi ya 95% inakuwaje tumbua tumbua iendelee kwa kasi kubwa?
Kwa mfano Naibu waziri wa maji, Naibu waziri wa afya, Naibu waziri wa TAMISEMI, waziri mwenyewe wa Tamisemi na waziri wa maji kazi kubwa wanayoifanya kwa sasa ni kutumbua tu.
Nilidhani ziara za mawaziri zingekuwa za kuwapongeza watendaji zaidi kwa kutekeleza vema ilani ya CCM msimu uliopita badala ya tumbua tumbua.
Maendeleo hayana vyama!
Kwa mfano Naibu waziri wa maji, Naibu waziri wa afya, Naibu waziri wa TAMISEMI, waziri mwenyewe wa Tamisemi na waziri wa maji kazi kubwa wanayoifanya kwa sasa ni kutumbua tu.
Nilidhani ziara za mawaziri zingekuwa za kuwapongeza watendaji zaidi kwa kutekeleza vema ilani ya CCM msimu uliopita badala ya tumbua tumbua.
Maendeleo hayana vyama!