Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,688
- 3,395
Kibajaji akirusha ngumi kwa Lema ilikua inajibiwa kwa uzito unaowiana, sasa leo akirusha kwa Esther Matiko ni unyanyasaji wa kijinsia. Pia ujue hao Covid 19 wako chini ya mbawa za KITI kikuu cha bunge, hawapaswi kurushiwa ngumi.Wabunge wa CCM watarushiana madongo na Covid 19 kutoka Ufipa!