Kama Ibada zinasaidia kurekebisha Waumini mbona Waumini hao hao wanatenda mno dhambi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,413
108,516
Ni bora tu hata kusingekuwa na Nyumba za Ibada kwani binafsi sioni umuhimu wake. Hivi kama kila Siku au kila Ijumaa au Jumamosi au Jumapili Watu ( Waumini ) wanafurika kwenda Kuabudu lakini hao hao na pengine siku hiyo hiyo utawaona au utawakuta.....
  1. Wakiteta Watu
  2. Wakisema Uwongo
  3. Wakiingia Nyumba za Kulala Wageni Kubanduana
  4. Wakidhulumu
  5. Wakiiba Kitu dukani
  6. Wakikwepa kumlipa Kondakta nauli yake
  7. Wakipiga Chabo
je kwa haya yote wanayoyafanya sasa kule katika zile Nyumba za Ibada walienda kufanya nini? Kwa Unafiki huu wa Kuabudu na Kujifanya sisi ni Wacha Mungu wazuri wakati kumbe ni wa hovyo hovyo / washenzi sasa naanza kuamini kuwa katika Waumini Milioni 25 wa Dini zote na Madhehebu yote nchini Tanzania wenye Kuabudu kikweli kweli na kufuata maandiko ya Mwenyezi Mungu kisawasawa ni 13 au 23 tu ila wengine wote tunaenda tu huko katika Nyumba za Ibada kama geresha / kuzuga tu.

Acheni kujifanya Wacha Mungu wakati kumbe ni Wanafiki watupu na kuna Watu siku ya Kiama mtafanywa kuwa ndiyo Kuni za Kuchomea wenye dhambi wenzenu. Halafu hapo hapo mnawacheka Wapagani wakati hata hamna tofauti nao na pengine unaweza kukuta hao Wapagani wanatenda mambo mema yanayompendeza Mwenyezi Mungu kuliko nyie Wanafaki wa Kutukuka wa Imani.

Nawasilisha huku nikijua ya kwamba ' message sent and delivered '.
 
MKUU HAKUNA JENGO LINALOHESHIMA KAMA NYUMBA YA IBADA.HUMO HATA RAIS HUPIGISHWA MAGOTI ASEE
 
Kila mtu atauchukua mzigo wake yeye mwenyewe .... Watumishi wanatenda kazi yao waumini waendelee kuneng'eneka kwani mwenye sikio na asikie .. Roho asema nao.
 
Ni bora tu hata kusingekuwa na Nyumba za Ibada kwani binafsi sioni umuhimu wake. Hivi kama kila Siku au kila Ijumaa au Jumamosi au Jumapili Watu ( Waumini ) wanafurika kwenda Kuabudu lakini hao hao na pengine siku hiyo hiyo utawaona au utawakuta.....
  1. Wakiteta Watu
  2. Wakisema Uwongo
  3. Wakiingia Nyumba za Kulala Wageni Kubanduana
  4. Wakidhulumu
  5. Wakiiba Kitu dukani
  6. Wakikwepa kumlipa Kondakta nauli yake
  7. Wakipiga Chabo
je kwa haya yote wanayoyafanya sasa kule katika zile Nyumba za Ibada walienda kufanya nini? Kwa Unafiki huu wa Kuabudu na Kujifanya sisi ni Wacha Mungu wazuri wakati kumbe ni wa hovyo hovyo / washenzi sasa naanza kuamini kuwa katika Waumini Milioni 25 wa Dini zote na Madhehebu yote nchini Tanzania wenye Kuabudu kikweli kweli na kufuata maandiko ya Mwenyezi Mungu kisawasawa ni 13 au 23 tu ila wengine wote tunaenda tu huko katika Nyumba za Ibada kama geresha / kuzuga tu.

Acheni kujifanya Wacha Mungu wakati kumbe ni Wanafiki watupu na kuna Watu siku ya Kiama mtafanywa kuwa ndiyo Kuni za Kuchomea wenye dhambi wenzenu. Halafu hapo hapo mnawacheka Wapagani wakati hata hamna tofauti nao na pengine unaweza kukuta hao Wapagani wanatenda mambo mema yanayompendeza Mwenyezi Mungu kuliko nyie Wanafaki wa Kutukuka wa Imani.

Nawasilisha huku nikijua ya kwamba ' message sent and delivered '.
Lengo la kwenda kwenye ibada ni kuabudu, kushukuru na kuomba neema na msamaha kwa Mungu, huku tukitanua mahusiano ya kijamii ili tuwe na ustawi

Kama unadhan ustawi wa jamii haupo kwenye ibada au maadhimisho ya misa basi jamii hii unayoidharau leo wasingekuandikia kwa kukuelimisha wangekutukana
 
Back
Top Bottom