arabianfalcon
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 2,285
- 584
Kama naanza kutokuelewana sasa basi mpaka kwenye watoto mtawachanganya na dini baba anataka hivi mama anataka vile,na wewe ukiwa kama mume huelekei kama una maamuzi kuliko mwanamke sasa bora uepushe shari mapema tafuta mtakae wezana na atakae kuenzi wewe kama mume.....