Kama huyu ndo wakuoa!! Nishaurini jamani maana niko njia panda kwa kweli...

Kama naanza kutokuelewana sasa basi mpaka kwenye watoto mtawachanganya na dini baba anataka hivi mama anataka vile,na wewe ukiwa kama mume huelekei kama una maamuzi kuliko mwanamke sasa bora uepushe shari mapema tafuta mtakae wezana na atakae kuenzi wewe kama mume.....
 
Nisingependa nianzie mbali sana bali nieleze tu kwa ufupi na kwa ufasaha.

Nimekuwa na binti mmoja miaka minne niliyempenda sana na hata sasa nampenda sana naamini hata nikimtaja kwa jina sio vibaya maana hata yeye kama ni mwana jf anajua nampenda sana (Elizabeth N. Natrovoki-El)

Kwa kweli kwa kipindi chote hicho hatukuwahi kushirikiana koimwili (mapenzi) na tumeahidiana kuoana. Sote tulikuwa tunasali Anglican, na tulipatana sana, na tulishirikiana vilivyo ktk kupangilia maisha yetu ya baadae kielimu na kimaisha pia.

Na moja ya mambo tuliyopangilia ni pamoja na kujiwekea mikakati ya kulinda uhusiano wetu pamoja na kuwa na ndoa ya furaha na amani kwa kuwa pamoja kwa kilakitu ikiwa ni pamoja na imani moja na kumtumikia Mungu kwa uaminifu sana mimi na mke wangu huyo mtarajiwa.

TATIZO: Tulipofika mwaka wa pili wa masomo chuoni (TUMAINI UNIVERSITY) mwenzangu akabadilisha imani na kujiunga na assemblies of God kwa imani ya ubatizo wa maji mengi. NA HAPO NDIPO TOFAUTI ZILIPOANZIA. Jamani nilijitahidi kwa vipawa vyote na imani yote niliyonayo ktk Mungu na Ufahamu wa neno la Mungu kwa kadri nilivyojaliwa kumuelewesha mpenzi wangu huyo arudi tuendelee na uhusino wetu ila hakutaka bali kukawa na mivutano mingi sana na mara nyingine hata kutaka kuachana LAKINI kila tukifanya hivyo tunajikuta tupo pamoja.

Wana Jf, hadi tumealiza chuo mwaka jana tupo tu twafutana. Kwa kweli nimekuwa njia panda toka 2009 hadi januari hii jamani. Mwaka jana mwezi Novemba nilitaka nikajitambulishe na kuaza kulipa mahali lakini lakini tofauti zetu hizi jamani za kiimani hazitufanyi twende sawa kabisa, nilitoka Dar kwenda kwao Monduli kwa ajili ya kufanya hivyo ila haikuwezekana. HATA HIVYO akasema atarudi ili tuwe na imani sawa (kwani mwanzoni alikuwa anataka na mimi vivyo nimfuate Assemblies ndo nimuoe) na hapo niliamua kumpa muda mfupi sana ili kabla ya januari niweze kwenda kwao na kuanza kufuata taratibu za kumuoa.

LAKINI hadi inafika mwezi wa 12 mwaka jana jamani nilimuuliza kwa msg bado unaendelea kusali assemblies? HAKUNIJIBU hadi baadae sana nilivyompigia tukaongeaaaaaaa na baada ya maongezi kwa vile hakuigusia msg nikamuuliza ulipata msg yangu? akaitika ndio, nikamuuliza mbona hujanijibu? akasema jibu lake ni NDIYO. Wana JF sikutaka tena kujadili swala la imani wala kanisa, baada ya kutafakari sana nikamwambia tusipotezeane muda hapa palipofikia napotezea hata kama ni muda mrefu kumekuwa na uhusiano naasume hasara ya muda maana sasa nataka nioe lakini hauna mwelekeo. AKANIJIBU:"UNANIAMBIA NINI? SIKUELEWI NA SITOKAA NIKUELEWE, NINACHOJUA WEWE NI MUME WANGU, TUMEKUWA WOTE MIAKA MINNE NA NITAKUWA NA WEWE MILELE." WANA JF, na mara zote kila nikifanya uamuzi huu wa kuachana ananigomea hataki tuachane lakini hataki kufuata navyotaka tuwe. NA MIMI NATAKA SASA NIOE JAMANI NIMECHOKA NDUGU ZANGUNI KUNG'ANG'ANIA UBACHELA JAMANI HEBU NAOMBENI USHAUTI KWA KILA MTU AONAVYO YEYE THEN NITACHUJA NA KUJUA NI UAMUZI GANI NIFANYE. THIS IS SERIOUS HADI SASA SINA HAKIKA NITAMUOA YEYE AU NITAFUTE MKE NIACHANE NAE. Ila baada ya shauri zenu nitafanya maamuzi. ASANTENI.

Mpendwa ktk Bwana ubarikiwe sana, unabahati ya mtende kumea jangwani na unazaa paka watu wanajiuliza maji yako wapi? unabahati ya ngamia kuishi jangwani watu wanajiuliza anakula nn?
ndugu yangu moyo unaniuma kama kweli unaamua kung'ang'ania moyo wako na wala hutaki kukubaliana na mkeo, amini usuiamini kristo Mwana wa mungu Aliye hai hakuleta din bali anasema KILA ANIAMINIE HATAHUKUMIWA KAMWE BALI AMEPITA TOKA HUKUMUNI.
HUKUMUNI, kwani Anglican ni mlango wa kuingia Mbinguni? au Ass. of God ni nia ya mbinguni? je hujui kuwa biblia ndiyo taa pekee alopewa mwanadamu kumjua Mungu? kwanini usikubaliane na Mkeo mtarajiwa anavyokusihi siku zote? je, kama angebadilika nakwenda viwanja ungemuacha? je angamua kuacha kuasli ungemuacha? Mbona basi ameamua kuuacha moyo wake kwa mungu wake kupitia kivuli cha Ass. of god, unashindwa nn kujiunga nae? lait ingekuwa mm ningepiga mbiu kwa furaha, amini mke wangu ni muislam mm mkristo namuambia abadilike kuwa nami hataki lkn sijamuacha nampenda sn.
Amua leo utamtumikia nani, kama baali ni mungu sawa na kama Mungu wa israel ndiye basi mfateni yeye.
Be Blesed, kubali uokoke kama mkeo ndiyo njia pekee ya kumuona Mungu aliye hai, neno linasema kama msipozaliwa mara yapili hamtauona uzima wa milele, na pia linasema kama mtu asipozaliwa kwa maji na roho hatauona uzima wa milele,
kama unabisha mke utakae muoa kama si huyu utapata taabu ambayo hutoamini na mkeo mtarajiwa atakuwa tawatayari ameshaolewa.
 
Wana jf nashukuruni sana kwa mchango wenu na sasa nimepokea mashauri yenu yote sasa kazi ni kwangu kufanyia na kuamua. Asanteni sana sana kwa ushirikiano huu. Be blessed all who contributed in advising me.
 
Nisingependa nianzie mbali sana bali nieleze tu kwa ufupi na kwa ufasaha.

Nimekuwa na binti mmoja miaka minne niliyempenda sana na hata sasa nampenda sana naamini hata nikimtaja kwa jina sio vibaya maana hata yeye kama ni mwana jf anajua nampenda sana (Elizabeth N. Natrovoki-El)

Kwa kweli kwa kipindi chote hicho hatukuwahi kushirikiana koimwili (mapenzi) na tumeahidiana kuoana. Sote tulikuwa tunasali Anglican, na tulipatana sana, na tulishirikiana vilivyo ktk kupangilia maisha yetu ya baadae kielimu na kimaisha pia.

Na moja ya mambo tuliyopangilia ni pamoja na kujiwekea mikakati ya kulinda uhusiano wetu pamoja na kuwa na ndoa ya furaha na amani kwa kuwa pamoja kwa kilakitu ikiwa ni pamoja na imani moja na kumtumikia Mungu kwa uaminifu sana mimi na mke wangu huyo mtarajiwa.

TATIZO: Tulipofika mwaka wa pili wa masomo chuoni (TUMAINI UNIVERSITY) mwenzangu akabadilisha imani na kujiunga na assemblies of God kwa imani ya ubatizo wa maji mengi. NA HAPO NDIPO TOFAUTI ZILIPOANZIA. Jamani nilijitahidi kwa vipawa vyote na imani yote niliyonayo ktk Mungu na Ufahamu wa neno la Mungu kwa kadri nilivyojaliwa kumuelewesha mpenzi wangu huyo arudi tuendelee na uhusino wetu ila hakutaka bali kukawa na mivutano mingi sana na mara nyingine hata kutaka kuachana LAKINI kila tukifanya hivyo tunajikuta tupo pamoja.

Wana Jf, hadi tumealiza chuo mwaka jana tupo tu twafutana. Kwa kweli nimekuwa njia panda toka 2009 hadi januari hii jamani. Mwaka jana mwezi Novemba nilitaka nikajitambulishe na kuaza kulipa mahali lakini lakini tofauti zetu hizi jamani za kiimani hazitufanyi twende sawa kabisa, nilitoka Dar kwenda kwao Monduli kwa ajili ya kufanya hivyo ila haikuwezekana. HATA HIVYO akasema atarudi ili tuwe na imani sawa (kwani mwanzoni alikuwa anataka na mimi vivyo nimfuate Assemblies ndo nimuoe) na hapo niliamua kumpa muda mfupi sana ili kabla ya januari niweze kwenda kwao na kuanza kufuata taratibu za kumuoa.

LAKINI hadi inafika mwezi wa 12 mwaka jana jamani nilimuuliza kwa msg bado unaendelea kusali assemblies? HAKUNIJIBU hadi baadae sana nilivyompigia tukaongeaaaaaaa na baada ya maongezi kwa vile hakuigusia msg nikamuuliza ulipata msg yangu? akaitika ndio, nikamuuliza mbona hujanijibu? akasema jibu lake ni NDIYO. Wana JF sikutaka tena kujadili swala la imani wala kanisa, baada ya kutafakari sana nikamwambia tusipotezeane muda hapa palipofikia napotezea hata kama ni muda mrefu kumekuwa na uhusiano naasume hasara ya muda maana sasa nataka nioe lakini hauna mwelekeo. AKANIJIBU:"UNANIAMBIA NINI? SIKUELEWI NA SITOKAA NIKUELEWE, NINACHOJUA WEWE NI MUME WANGU, TUMEKUWA WOTE MIAKA MINNE NA NITAKUWA NA WEWE MILELE." WANA JF, na mara zote kila nikifanya uamuzi huu wa kuachana ananigomea hataki tuachane lakini hataki kufuata navyotaka tuwe. NA MIMI NATAKA SASA NIOE JAMANI NIMECHOKA NDUGU ZANGUNI KUNG'ANG'ANIA UBACHELA JAMANI HEBU NAOMBENI USHAUTI KWA KILA MTU AONAVYO YEYE THEN NITACHUJA NA KUJUA NI UAMUZI GANI NIFANYE. THIS IS SERIOUS HADI SASA SINA HAKIKA NITAMUOA YEYE AU NITAFUTE MKE NIACHANE NAE. Ila baada ya shauri zenu nitafanya maamuzi. ASANTENI.

TATIZO LAKO UNAPENDA DHEHEBU na sio mtu,tatizo lipo wapi?huko kote mbona YESU anayetajwa ni yulyule,kumbika unaoa mtu na wala sio dhehebu.
 
Fuata moyo wako unachosema, usijilazimishe kufanya kitu, mweleze tu kuwa hupendi anachofanya na umpe muda wa kujirekebisha, pia jiangalie na urekebishe mapungufu yako coz nobody is perfect, ukiwa hali hiyo bado ipo PIGA CHINI sababu marriage is a sacred institution na hutakiwi kuiingia kwa kujaribu.
 
Back
Top Bottom