Kama hutasoma kozi hizi unapoteza muda wako

Law Nipana Kwanza Ni Organ Of State i.e " Judiciary" Hivyo Ajira Haitakosekana Kwa Mwenye Vigezo Na Ukiona Mtu Wa Law Ana Hustle Jua Kuna Mawili Yupo After Money Au He/she Is Unqualified. Huwezi Ukawa Degree Holder Wa Llb Then Utoke Patupu. Trust Me Or Not Lawyers Are Needed Most By The Entire World.
 
Law And Medicine Are The Oldest Professions( Other Than Clergy) The Most Prestigious And Highly Renumerated, The Most Influential, Discussed, Praised And Criticized Professions. They Also Changing From Professions To Businesses Although In The Case Of Medicine Is Reversed ( I Can't See That Happening In Law) My Take "lawyers Can Also Make Businesses Out Of Law.
 
Law Nipana Kwanza Ni Organ Of State i.e " Judiciary" Hivyo Ajira Haitakosekana Kwa Mwenye Vigezo Na Ukiona Mtu Wa Law Ana Hustle Jua Kuna Mawili Yupo After Money Au He/she Is Unqualified. Huwezi Ukawa Degree Holder Wa Llb Then Utoke Patupu. Trust Me Or Not Lawyers Are Needed Most By The Entire World.

Kinachotusumbua sisi waTZ ni vile tunavyochukulia utani hata ktk mambo ya msingi..unemployment ipo mahali pote duniani..huwezi kuambia watu eti wanaokosa ajira ni wale wa after money au unqualified! Halafu usidhani kwa vile umeajiriwa basi wewe ni bora sana kuliko hao unaowaita uniqualified..kuna wakati unafika soko la ajira linakuwa saturated..huwezi kufanya chochote.

Unakumbuka mwaka juzi tafrani ya vijana wa Spain? Au umesahau fujo za kufukuza wahamiaji South Afrika hivi majuzi? Hebu tuacheni utani jamani.
 
Law And Medicine Are The Oldest Professions( Other Than Clergy) The Most Prestigious And Highly Renumerated, The Most Influential, Discussed, Praised And Criticized Professions. They Also Changing From Professions To Businesses Although In The Case Of Medicine Is Reversed ( I Can't See That Happening In Law) My Take "lawyers Can Also Make Businesses Out Of Law.

But Remember The Output Of Graduates Is Larger Than The Demand Of The Nation
 
Kinachotusumbua sisi waTZ ni vile tunavyochukulia utani hata ktk mambo ya msingi..unemployment ipo mahali pote duniani..huwezi kuambia watu eti wanaokosa ajira ni wale wa after money au unqualified! Halafu usidhani kwa vile umeajiriwa basi wewe ni bora sana kuliko hao unaowaita uniqualified..kuna wakati unafika soko la ajira linakuwa saturated..huwezi kufanya chochote.

Unakumbuka mwaka juzi tafrani ya vijana wa Spain? Au umesahau fujo za kufukuza wahamiaji South Afrika hivi majuzi? Hebu tuacheni utani jamani.

Tatizo La Ajira Lipo Dunia Nzima.Ila Tukirudi Katika Nchi Yetu Tz Ni Kua Rushwa Inawaumiza Wengi.Bila Kitu Kidogo Hupati Kazi
 
Mnaoenda Vyuo Vikuu Mwaka Huu Kama Hutasoma Kozi Hizi Kwa Tanzania Yetu Imekula Kwako.Mnaoenda kusomea Political Science,laws,wote Mnapoteza Mda Wenu Ajira Hakuna.Kozi Hizi Ndio Marketable. Udaktari,ualimu,uhandisi Wa Aina Zote,kilimo Kwanza Tu,hatuna Shida Na Wahasibu,wanasheria Wanatosha,wasanii Wa Social Sciences Hatuna Shida Nao.
funga kazi ni mechatronics hizo zingine bwembwe tu
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
unasoma ili kupata maarifa, husomi ili uajiriwe
Acha mbwembwe ww hakuna ambaye hataki kujiajili shida ni mtaji,alafu ukute ulisomea mkopo wa serikali chuo hilo déni utalilipa vip kimsingi elimu yetu haimuandai mwanafunzi kujiajili ndo maana wasomi wa maana wanakimbilia kwenye siasa coz wanatafuta maslai mazuri.Tukibadilisha mfumo wa elimu yetu tunaweza tukatatua tatizo la ajira tz
 
Ualimu nao umekua kama law na fani zingine.Nina swali wadau.Tangu 2015 Waalimu hawaja ajiriwa,je hao wanaondelea kusoma na kudahiliwa,wanasoma ili wawe nani?
 
Ualimu nao umekua kama law na fani zingine.Nina swali wadau.Tangu 2015 Waalimu hawaja ajiriwa,je hao wanaondelea kusoma na kudahiliwa,wanasoma ili wawe nani?
Wewe apoo juu umesema ajira 18000 zimetangazwa, basi zitawachukua wote waliohitimu toka 2015
 
Umenikumbusha ndugu yangu mmoja wakati nasoma chuo alikuwa anaponda mnasoma makozi gani magumu mnazeeka. Amechoka sijui Kama huko ofisini kwake wanamlipa mshahara!

Mtoa mada, shule tunaenda kufuta ujinga na kujifunza approach mbalimbali towards life challenges. Acha kukremisha. Maisha ya kitaa hayana sylabus
Uwo ssa utani ndgu
 
Back
Top Bottom