😅😅😅..usiwavunje nguvu mkuu waache walambe dawa taratibu taratibuNa bado watagongwa hela ya mwenge
Utumishi ni uboya Tz
Msafara wa Mbeya ni zaidi ya magari 70 !Kwanza siamini kuwa huongezi mishahara kama mbinu ya kupana matumizi bali naamini hali ni mbaya na sasa unashindwa kuongeza mishahara na hata mwakani pia hutaweza maana hali inaweza kuwa mbaya zaidi na sitashangaa hata usiposhiriki sherehe za Mei Mosi za mwakani maana sioni utasema nini tena.
Hata hivyo,kama kweli umeamua kubana matumizi kwa kutoongeza mishahara ya watumishi,basi ondoa na mashangingi serikalini ambayo kwa sasa yamezagaa Dodoma utadhani Japan imehamia Bongo huku baadhi ya mashangingi haya mengine yakiwa busy siku za week-end kwenye mabaa na sehemu nyinginezo.
Pia tunakuomba upunguze na misafara yako.
Kila mtu aguswe na si watumishi tu.
Charity begins at home na kuongoza ni kuonyesha njia/mfano.
Akili ninazo na ndio maana naona Raisi anajua vipaumbele vya mtanzania kwa sasa hasa walio wengi kua sio nyongeza ya mshahara kwa watu wacheche kwani hiyo SGR watapanda hata wasio na kazi na hata ww unaelilia mshahara..kwahiyo aache kujenga reli akuongeze mshahara?? Ww ndio una akili?? Hahaaaaa acha kazi kama mshahara haukutoshi
Ufujaji mtupu na wa wazi wa fedha za umma huo!Msafara wa Mbeya ni zaidi ya magari 70 !
Ungekuwa na akili ungemshangaa alieahidi masilahi bora kwa watumishi mwaka 2015 na sasa amekuja na visingizio lukuki kuanzia uhakiki na haya anayoendelea kuyasema leo hii.
Tuoneshe ulichobuni wewe kwanza sio unaropoka tu hapaWanavyeti wanashindwa kubuni hata kutengeneza taili za bajaji? Degree gani hizo hizo wanazopata vijana?
Kwanza siamini kuwa huongezi mishahara kama mbinu ya kupana matumizi bali naamini hali ni mbaya na sasa unashindwa kuongeza mishahara na hata mwakani pia hutaweza maana hali inaweza kuwa mbaya zaidi na sitashangaa hata usiposhiriki sherehe za Mei Mosi za mwakani maana sioni utasema nini tena.
Hata hivyo,kama kweli umeamua kubana matumizi kwa kutoongeza mishahara ya watumishi,basi ondoa na mashangingi serikalini ambayo kwa sasa yamezagaa Dodoma utadhani Japan imehamia Bongo huku baadhi ya mashangingi haya mengine yakiwa busy siku za week-end kwenye mabaa na sehemu nyinginezo.
Pia tunakuomba upunguze na misafara yako.
Kila mtu aguswe na si watumishi tu.
Charity begins at home na kuongoza ni kuonyesha njia/mfano.
Huyu bwana hajali maisha ya watu wakiwemo watumishi bali anajali maendeleo ya vitu hata kama hivyo vitu havina faida kwa Taifa mradi tu aonekane amewaza kufanya jambo kubwa kama kununua hizo ndege,n.k.Hivi kulikuwa na haja gani ya kuadhimisha hii sikukuu? Hivi ni mabilioni mangapi yanateketea kwenye maandalizi ya hizi sherehe?
Magufuli amekaa mbeya siku ngapi? Ziara aisizo na tija zimeteketea bilioni ngapi kwa safari ya Mbeya siku zote hizo?
Mbona mikoa mengine anapita tuu siku moja au mbili.
Hizo anasa zote na kwenda kuwaweka watu juani siku nzima na kuwaimbia ngonjera zile zile kila mwaka, bora angeahirisha tu na kusitisha ziara zake zisizo na tija. Hao wafanyakazi hata angesema waongezewe 3% walau ingepoza maumivu.
Kwanza siamini kuwa huongezi mishahara kama mbinu ya kupana matumizi bali naamini hali ni mbaya na sasa unashindwa kuongeza mishahara na hata mwakani pia hutaweza maana hali inaweza kuwa mbaya zaidi na sitashangaa hata usiposhiriki sherehe za Mei Mosi za mwakani maana sioni utasema nini tena.
Hata hivyo,kama kweli umeamua kubana matumizi kwa kutoongeza mishahara ya watumishi,basi ondoa na mashangingi serikalini ambayo kwa sasa yamezagaa Dodoma utadhani Japan imehamia Bongo huku baadhi ya mashangingi haya mengine yakiwa busy siku za week-end kwenye mabaa na sehemu nyinginezo.
Pia tunakuomba upunguze na misafara yako.
Kila mtu aguswe na si watumishi tu.
Charity begins at home na kuongoza ni kuonyesha njia/mfano.
Alafu anajidai eti anabana matumizi kumbe ni wale wale!Misuse of taxpayers’ money
cjαιeleωα ιιι poѕтnahis hujui maan ya demokrasi
tafadhal waliosoma chuo kwa mkopo and a serikal njoon mjenge hoja na huyu mtu
ĸωα ιo nι yα nαnι?Acha kudanganya wewe kama mishahara yetu ingekuwa inajenga Standard gegi, Deni la taifa lisingeongezeka kiasi hicho.
ωeee ωαcнα ωιvυ мĸυυ, υlιтαĸαα αĸαe мĸoαnι ĸωenυHivi kulikuwa na haja gani ya kuadhimisha hii sikukuu? Hivi ni mabilioni mangapi yanateketea kwenye maandalizi ya hizi sherehe?
Magufuli amekaa mbeya siku ngapi? Ziara aisizo na tija zimeteketea bilioni ngapi kwa safari ya Mbeya siku zote hizo?
Mbona mikoa mengine anapita tuu siku moja au mbili.
Hizo anasa zote na kwenda kuwaweka watu juani siku nzima na kuwaimbia ngonjera zile zile kila mwaka, bora angeahirisha tu na kusitisha ziara zake zisizo na tija. Hao wafanyakazi hata angesema waongezewe 3% walau ingepoza maumivu.
Usipanick hata mm nikienda kusoma ww mshahara huo huo hahaaa ulijiandaa kuolewa nn hahaaa hakuna kuongeza salary hapa hahaa
Hahaha tatizo uoga mkuu,,bongo kuna wahitimu wengi wa vyuo vikuu lakini sio wasomiWanavyeti wanashindwa kubuni hata kutengeneza taili za bajaji? Degree gani hizo hizo wanazopata vijana?