Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
- Thread starter
- #21
Naomba unisikilize vizuli kiongozi kama una amini miaka 35 bado ni mdogo mwanamke unayetaka uje umuoe hapo badae unatarajia kuzaa nae au kumuoa atakuwa na miaka mingapi na mmepishana miaka mingapi narudia tena atakuwa na miaka mingapiKama anaona miaka 35 ni mingi sana....inawezekana mtoa mada ni kijana mdogo sana.....
Ikumbukwe ya kwamba wanawake wengi kuanzia miaka 27 hadi 30 huzaa na vijana wenye umri kuanzia 30 hadi 35 na wewe una 35 year's na lakini bado unajiona mdogo ukifika 36,37,38 kujaa juu hapo labda uje kuishi na singo mother ambaye alishazalishwa kijana mwingine ndo mje kuanza maisha nae pamoja