MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Kama kuna kitu ambacho huwa napata tabu kukielewa ni hiki cha mtu kumrudia X wake hasa baada ya kumuacha kwa vituko vya kila aina.
Kuna kesi moja ilitokea kati ya binti na jamaa yake. Walikuwa wapenzi kwa miaka karibu 10, kutoka form II mpaka baada ya kumaliza chuo na zaidi ya hapo. Siku moja jamaa akampigia simu binti anataka wakaongee sehemu. Binti akajibeba, probably alidhani anaenda kutangaziwa ndoa. Kufika kule baada ya maongezi mafupi, jamaa anamwambia binti, hataki tena uhusiano nae kwa sababu ameamua kuwa kuokoka na kuwa mchungaji!! Mara ya kwanza binti akadhani labda jamaa anatania, lakini kadiri maongezi yaliyoendelea, aka-realize kwamba the man is dead serious. Baada ya maongezi na kurudi nyumbani, binti aliumwa siku tatu yuko hospitali amelazwa.
Baada ya kutoka hospitali, akaamua kumtafuta jamaa. Bembeleza sana, jamaa katia ngumu. Akaamua mpaka kuwashirikisha wazazi, cause they had been together for so long mpaka wakawa wanajulikana hadi nyumbani kwa wote, lakini wapi. Binti akaamua basi na iwe hivyo. Kama kawaida, we unasema wa nini wenzio wanasema watampata lini. After kama miezi miwili hivi, inaonekana kuna jamaa alikuwa anasubiri tu chance yake. The other man hakuchelewa, kaenda kwa binti na proposal full. Binti nae akakubali, jamaa akaenda kwa wazazi.
The X kusikia tu watu wamepokea posa, akarudi fasta home(alikuwa amesafiri by that time). Moja kwa moja kwa binti anataka maongezi, akakataliwa hata nafasi ya kujieleza. Kama kawaida yetu wanaume, story zikawa nyingi, tumetoka mbali.... nimeshindwa kuishi bila wewe and so much blah blah. Binti alikuwa bado anampenda sana tu, you don't stop loving someone you have been with for 10 years + your first love. Lakini akatia ngumu, baada ya mwezi akaolewa na jamaa mpya na mpaka leo 5 years later they are together. Mwenzake nae, wa zamani ali-move on baada ya kukubali ukweli kwamba alikfanya blunder na hadithi za kutaka kuwa mchungaji zilikuwa hadithi tu za kutafutia sababu.
Kuna visa vingi sana vya aina hii, either ni mwanamke au mwanaume kumwacha mpenzi wake na baadae kuanza kujilaumu na kutaka kurudi tena. Tatizo ni nini? Ni kuwa na maono mafupi (short-sighted), au mazoea yakizidi mtu anaanza kuwa too comfortable na kuanza kuchukulia kila kitu kawaida tu (taking things for granted). Au ndio hisia za "wako wengi sana, nitapata mwingine wakati wowote", feeling of invincibility.
Personally nimekuwa kwenye mahusiano mara kadhaa na hata sasa nipo. Kitu ambacho nimekuwa nikisisitiza mara kwa mara ni kwamba, jitahidi usibabishe mahusiano kuvunjika kama huna hakika na maisha yako bila huyo mpenzi wako wa sasa. Ni kosa kubwa na pia it goes on to show how someone lacks good judgement when it comes to important decision in life. Huoni aibu kumrudia mtu uliyemwacha miezi kadhaa iliyopita(tena bora wa miaka) na kuanza kulia lia. What kind of a person are you?
If you can't live without her/him, make sure you don't leave him/her....
And if you are not sure, just make sure you don't leave him/her....
Kuna kesi moja ilitokea kati ya binti na jamaa yake. Walikuwa wapenzi kwa miaka karibu 10, kutoka form II mpaka baada ya kumaliza chuo na zaidi ya hapo. Siku moja jamaa akampigia simu binti anataka wakaongee sehemu. Binti akajibeba, probably alidhani anaenda kutangaziwa ndoa. Kufika kule baada ya maongezi mafupi, jamaa anamwambia binti, hataki tena uhusiano nae kwa sababu ameamua kuwa kuokoka na kuwa mchungaji!! Mara ya kwanza binti akadhani labda jamaa anatania, lakini kadiri maongezi yaliyoendelea, aka-realize kwamba the man is dead serious. Baada ya maongezi na kurudi nyumbani, binti aliumwa siku tatu yuko hospitali amelazwa.
Baada ya kutoka hospitali, akaamua kumtafuta jamaa. Bembeleza sana, jamaa katia ngumu. Akaamua mpaka kuwashirikisha wazazi, cause they had been together for so long mpaka wakawa wanajulikana hadi nyumbani kwa wote, lakini wapi. Binti akaamua basi na iwe hivyo. Kama kawaida, we unasema wa nini wenzio wanasema watampata lini. After kama miezi miwili hivi, inaonekana kuna jamaa alikuwa anasubiri tu chance yake. The other man hakuchelewa, kaenda kwa binti na proposal full. Binti nae akakubali, jamaa akaenda kwa wazazi.
The X kusikia tu watu wamepokea posa, akarudi fasta home(alikuwa amesafiri by that time). Moja kwa moja kwa binti anataka maongezi, akakataliwa hata nafasi ya kujieleza. Kama kawaida yetu wanaume, story zikawa nyingi, tumetoka mbali.... nimeshindwa kuishi bila wewe and so much blah blah. Binti alikuwa bado anampenda sana tu, you don't stop loving someone you have been with for 10 years + your first love. Lakini akatia ngumu, baada ya mwezi akaolewa na jamaa mpya na mpaka leo 5 years later they are together. Mwenzake nae, wa zamani ali-move on baada ya kukubali ukweli kwamba alikfanya blunder na hadithi za kutaka kuwa mchungaji zilikuwa hadithi tu za kutafutia sababu.
Kuna visa vingi sana vya aina hii, either ni mwanamke au mwanaume kumwacha mpenzi wake na baadae kuanza kujilaumu na kutaka kurudi tena. Tatizo ni nini? Ni kuwa na maono mafupi (short-sighted), au mazoea yakizidi mtu anaanza kuwa too comfortable na kuanza kuchukulia kila kitu kawaida tu (taking things for granted). Au ndio hisia za "wako wengi sana, nitapata mwingine wakati wowote", feeling of invincibility.
Personally nimekuwa kwenye mahusiano mara kadhaa na hata sasa nipo. Kitu ambacho nimekuwa nikisisitiza mara kwa mara ni kwamba, jitahidi usibabishe mahusiano kuvunjika kama huna hakika na maisha yako bila huyo mpenzi wako wa sasa. Ni kosa kubwa na pia it goes on to show how someone lacks good judgement when it comes to important decision in life. Huoni aibu kumrudia mtu uliyemwacha miezi kadhaa iliyopita(tena bora wa miaka) na kuanza kulia lia. What kind of a person are you?
If you can't live without her/him, make sure you don't leave him/her....
And if you are not sure, just make sure you don't leave him/her....