fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 632
- 854
Habari,
Tuende kwenye mada jumla jumla.
Binafsi kwakua nimechoka kuona unyanyasaji unao endelea bayana ya binadamu us if kuna binadamu wachache wanao tuona sisi kama wanyama (yani wanatutawala kama vile wanavyo tawala vikuku vyao bandani)
Kulingana na wasomi wakwanza tokea duniani ikiwamo akina plato ambao walisema binadamu wako katika aina kuu 3:
1. Gold (bright people)
2. Silver (watawala)
3. Iron (police. Wanajeshi.nk)
Apaa kila mtu anatakiwa ajiangalie mno kwa kujua yeye yupo wapi kama auko 1 au 2 au 3 basi awa ni wafu kulingana na plato yani non living
Sasa kumbe kuna watunga sheria. Kuna wanao chambua sheria na kuna wanao hakikisha sheria inafwatwa.
Nature always win.
Yani hata porini simba sio mkubwa sana kuliko tembo au tiger bali anaitwa mfalme wa pori ni kwa nini?
Kwa sababu ya attitudes ya Simba.
Basi kama mimi ningepewa chance yakuchagua nizaliwe kiumbe gani duniani mbali na mwanadau basi better be simba maana its my level.
Maana i depend some in other like muuza duka yani nafungua duka nauza goods for other.
Siwezi kua fisi au silver ili kula kile kilicho kibudu maana nina taya ngumu kumumunya mifupa
Au iron kulazimisha watu kula vibudu
Basi its better to be simba maana nitaishi kulingana na ninavyo taka
And please kama aupendi wanyama dont give a damn shit about them.
Tuende kwenye mada jumla jumla.
Binafsi kwakua nimechoka kuona unyanyasaji unao endelea bayana ya binadamu us if kuna binadamu wachache wanao tuona sisi kama wanyama (yani wanatutawala kama vile wanavyo tawala vikuku vyao bandani)
Kulingana na wasomi wakwanza tokea duniani ikiwamo akina plato ambao walisema binadamu wako katika aina kuu 3:
1. Gold (bright people)
2. Silver (watawala)
3. Iron (police. Wanajeshi.nk)
Apaa kila mtu anatakiwa ajiangalie mno kwa kujua yeye yupo wapi kama auko 1 au 2 au 3 basi awa ni wafu kulingana na plato yani non living
Sasa kumbe kuna watunga sheria. Kuna wanao chambua sheria na kuna wanao hakikisha sheria inafwatwa.
Nature always win.
Yani hata porini simba sio mkubwa sana kuliko tembo au tiger bali anaitwa mfalme wa pori ni kwa nini?
Kwa sababu ya attitudes ya Simba.
Basi kama mimi ningepewa chance yakuchagua nizaliwe kiumbe gani duniani mbali na mwanadau basi better be simba maana its my level.
Maana i depend some in other like muuza duka yani nafungua duka nauza goods for other.
Siwezi kua fisi au silver ili kula kile kilicho kibudu maana nina taya ngumu kumumunya mifupa
Au iron kulazimisha watu kula vibudu
Basi its better to be simba maana nitaishi kulingana na ninavyo taka
And please kama aupendi wanyama dont give a damn shit about them.