Kwa wale wa nafasi za uteule hasa za ngazi za juu ikiwa mtizamo wako ni kinyume cha mtizamo wa aliyekuteua unachotakiwa ni kujiuzulu.
Ikiwa wewe ni Daktari na aliyekuteua anaamini kuwa matibabu ya surua ni udongo wa kichunguu hutakiwi kukubaliana naye bali kiungwana unatakiwa ujiuzulu.
Ukiendelea kukaa hapo maana yake wewe ni MNAFIKI.
Ikiwa wewe ni Daktari na aliyekuteua anaamini kuwa matibabu ya surua ni udongo wa kichunguu hutakiwi kukubaliana naye bali kiungwana unatakiwa ujiuzulu.
Ukiendelea kukaa hapo maana yake wewe ni MNAFIKI.