mansolata
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 503
- 317
Habar wa ndg..
Kuna haka katabia kakukurupuka kisiasa ....tena katika sekta muhimu ya elimu....jamani tatueni kwanza changamoto za walim....
Wanasiasa mnawaonea sana walimu...
Wanafunzi 800" """ Walimu 8 s/msingi
Wanafunzi 250" """ Walimu2 sec.school
Halafu mtegemee miujiza ya mtokeo ya mitihani,,...
Hii huwezi ipata mijini ,,,tembelea vijijini ujionee
Kuna sauti ya DC MURO akikoroma kuusu walimu...eti wamalize syllabus ndani ya wiki haelewi hata maana ya syllabus,,,,, huu ni ubakaji wa elimu yetu,,,,,
Daima elimu yetu itazalisha vyeti bila ujuzi kwa mwendo huu , ,,,,,
Nimeshindwa Ku_upload
Kuna haka katabia kakukurupuka kisiasa ....tena katika sekta muhimu ya elimu....jamani tatueni kwanza changamoto za walim....
Wanasiasa mnawaonea sana walimu...
Wanafunzi 800" """ Walimu 8 s/msingi
Wanafunzi 250" """ Walimu2 sec.school
Halafu mtegemee miujiza ya mtokeo ya mitihani,,...
Hii huwezi ipata mijini ,,,tembelea vijijini ujionee
Kuna sauti ya DC MURO akikoroma kuusu walimu...eti wamalize syllabus ndani ya wiki haelewi hata maana ya syllabus,,,,, huu ni ubakaji wa elimu yetu,,,,,
Daima elimu yetu itazalisha vyeti bila ujuzi kwa mwendo huu , ,,,,,
Nimeshindwa Ku_upload