Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
Yaap yaani hesabu rahisi tu😀Hasara Bil.7
Faini mil.50
Kama mimi huyo mchina nikitoka naenda ua tembo wengine
Naingiza Bil7 zingine natenga mil.50 za faini.
Masikini mtafutaji a.k.a "jangili", anaetumwa na hao wa mabilioni sheria inampa kifungo cha miaka 20 kavu jela bila option ya faini ili iwe fundisho kwake na kwa wengineJaribu wewe kuua hao tembo utaona jinsi utakavyosahaulika mtaani.
Watawala!Roho imeniuma Sana huwezi kwenda china ukafanya hivyo ukapona. Sisi huku tuna shida gani
Kaua tembo walioweza kutumika kuingiza pesa kwa kuwaangalia tu kwa wataliiiTembo wenye thamani ya shillings Billions 7
Faini Shillings Million 50
Kwani hao tembo(pembe za Ndovu) anarudishiwa ??
Mbona Naona Hakuna tatizo
Naruhusu kukosolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tembo wap mwambie apite town kamning'iniza Kuku kichwa chini miguu juu inatoshaJaribu wewe kuua hao tembo utaona jinsi utakavyosahaulika mtaani.
Fahamu nchi sasa haiuzi meno ya tembo. Yanakwenda kukaa stoo tu ambako hakuna watalii watakaoingia huko.Tembo wenye thamani ya shillings Billions 7
Faini Shillings Million 50
Kwani hao tembo(pembe za Ndovu) anarudishiwa ??
Mbona Naona Hakuna tatizo
Naruhusu kukosolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
AhahahahaaTembo wap mwambie apite town kamning'iniza Kuku kucha chini miguu juu inatosha
Sent using Jamii Forums mobile app
That is us Mkuu, tupo hivyo kwenye kila kona ya maishaHow can this be true?
Mwenge Ni laana. Kasome Isaya 50:11 Mungu anasema mkikimbiza mwenge laana yake Ni kulala kwa huzuni. Hamtakuwa na mafanikioRoho imeniuma Sana huwezi kwenda china ukafanya hivyo ukapona. Sisi huku tuna shida gani