Kama hujui group dynamics uko sahihi kuwalaumu UKAWA na Zitto

mm1

JF-Expert Member
Aug 17, 2014
569
170
Tambua political party ni group la watu wenye common interest (kushika dola).Group lolote lina stage zake za ukuaji,stage ngumu ni hii inaitwa "conflincting stage" Hapa group linafarakana hata kufikia hali ya members wa group kjitoa.Ninachokiongea watu wa comunity developments wananielewa,suala la ukawa na zito hapo awali kutofautiana lilikuwa ni lakawaida,usifikiri watu walifanya utafiti bure katika group formation.Tambua hiyo stage ikipita watu walio sirious huzika tofaut zao na kuendelea kufanya mambo yao in order to achieve their goals.
 
You have done a good observation!naona siku hata ule msuguano kati ya wana act-wazalendo na chadema taratibu unapungua tangu zitto na ukawa walipoanza kushirikiana bungeni!kama unakumbuka zamani kidogo kabla ya bunge act-wazalendo na ccm walikuwa chanda na pete!ila baada ya vikao vya bunge kuanza ccm wanaanza kuwa na hofu na joint venture ya act na chadema...and this is what politics is all about!
 
Tambua political party ni group la watu wenye common interest (kushika dola).Group lolote lina stage zake za ukuaji,stage ngumu ni hii inaitwa "conflincting stage" Hapa group linafarakana hata kufikia hali ya members wa group kjitoa.Ninachokiongea watu wa comunity developments wananielewa,suala la ukawa na zito hapo awali kutofautiana lilikuwa ni lakawaida,usifikiri watu walifanya utafiti bure katika group formation.Tambua hiyo stage ikipita watu walio sirious huzika tofaut zao na kuendelea kufanya mambo yao in order to achieve their goals.
You have done a good observation!naona siku hata ule msuguano kati ya wana act-wazalendo na chadema taratibu unapungua tangu zitto na ukawa walipoanza kushirikiana bungeni!kama unakumbuka zamani kidogo kabla ya bunge act-wazalendo na ccm walikuwa chanda na pete!ila baada ya vikao vya bunge kuanza ccm wanaanza kuwa na hofu na joint venture ya act na chadema...and this is what politics is all about!


kwa maana hio pia tusishangae Dr. Slaa kurejea Chadema!
 
Kila kitu ni very possible in politics
hakuna permanent enemies wala permanent friends

Nape alikuwa mpambe wa Sumaye
huku Lowassa akawa mpambe wa Kikwete

Mwisho Nape kawa best wa Kikwete huku Sumaye akiwa adui yake
Sumaye alikuwa adui wa Lowassa now ni mpambe wa Lowassa
Lowassa alikuwa mpambe wa Kikwete now ni maadui
Dr Slaa na Tundu Lissu
Slaa na Mbowe
Lipumba na Mbowe
orodha ni ndefu saana...tena hapa hapa TZ
 
Kila kitu ni very possible in politics
hakuna permanent enemies wala permanent friends

Nape alikuwa mpambe wa Sumaye
huku Lowassa akawa mpambe wa Kikwete

Mwisho Nape kawa best wa Kikwete huku Sumaye akiwa adui yake
Sumaye alikuwa adui wa Lowassa now ni mpambe wa Lowassa
Lowassa alikuwa mpambe wa Kikwete now ni maadui
Dr Slaa na Tundu Lissu
Slaa na Mbowe
Lipumba na Mbowe
orodha ni ndefu saana...tena hapa hapa TZ


Mkuu kwa hio politics na sports ni tofauti? Mimi ni shabiki wa Simba lakini siwezi hata siku moja angalau tu kufikiria kuishabikia Yanga! Yaani mimi nikiona ile rangi ya kijani basi hasira hunipanda mno. Na ndio maana hata nikaichukia CCM na nadhani sitoikubali maishani!
 
Mkuu kwa hio politics na sports ni tofauti? Mimi ni shabiki wa Simba lakini siwezi hata siku moja angalau tu kufikiria kuishabikia Yanga! Yaani mimi nikiona ile rangi ya kijani basi hasira hunipanda mno. Na ndio maana hata nikaichukia CCM na nadhani sitoikubali maishani!

Unaichukia CCM lakini Lowasa alipotoka huko na kujiunga Upinzani
ukamkubali fast...
leo Simba wakimsajili Msuva na Ngoma na kumchukua Pluijm
utaruka ruka kwa furaha

yale yale tu ukitazama
 
Unaichukia CCM lakini Lowasa alipotoka huko na kujiunga Upinzani
ukamkubali fast...
leo Simba wakimsajili Msuva na Ngoma na kumchukua Pluijm
utaruka ruka kwa furaha

yale yale tu ukitazama


Mkuu hilo la Lowasa na Cdm sikubaliani nawe. Lowasa alipokuja Cdm aliacha zile itikati za kiCCM huko huko. Nadhani hata ile green uniform aliiacha huko huko CCM na ndio maana tukamkubali Chadema.
 
Mkuu kwa hio politics na sports ni tofauti? Mimi ni shabiki wa Simba lakini siwezi hata siku moja angalau tu kufikiria kuishabikia Yanga! Yaani mimi nikiona ile rangi ya kijani basi hasira hunipanda mno. Na ndio maana hata nikaichukia CCM na nadhani sitoikubali maishani!
tofauti ni kuwa,siasa ni mchezo wa akili zaidi wakati ushabiki wa mpira ni kitu cha hisia za moyoni!siasa ni kama draft,ni akili zaidi kuliko hisia...chochote kije what matters ni kushika dola!
 
Siku cuf na chadema watakapotibuana hawatakawia kumsingizia zitto kuwa ndiye mchonganishi na mshauri zitto awe makini na hawa wajesiria mali wa siasa
 
afrika siasa ni uchawi mtupuuu,hata mwehu akiaguliwa vizuri alamba ubunge si tunawaona bungeni
 
Back
Top Bottom