Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utotoni kuna ujinga mwingi sana.. na mambo mengi tuliyafanya ni hatarishi sana sijui tumefikaje ukubwani bado wazima.Hii cha mtoto, sisi tulikuwa tunachukua tairi la lori au trekta unaingia hapo katikati unajikunja then wenzio wanakusukuma! Siku ingine wanakusukuma wanapoteza muelekeo wanakuacha upambane na hali yako!
View attachment 1101131
Sitasahau tairi lilipoenda kugonga ubabuni mean oneten iliyokuwa speed wakati naviringishwa kwenye tairiHii cha mtoto, sisi tulikuwa tunachukua tairi la lori au trekta unaingia hapo katikati unajikunja then wenzio wanakusukuma! Siku ingine wanakusukuma wanapoteza muelekeo wanakuacha upambane na hali yako!
View attachment 1101131
Sasa hivi nimejiuliza starehe ya kuzungurushwa na lile gurudumu ni nini hata sina jibu!Utotoni kuna ujinga mwingi sana.. na mambo mengi tuliyafanya ni hatarishi sana sijui tumefikaje ukubwani bado wazima.
Ha ha ha tushaachwa sana tupambane na hali zetu! Halafu wakati unaanguka wenzio wote washafika kwao!Sitasahau tairi lilipoenda kugonga ubabuni mean oneten iliyokuwa speed wakati naviringishwa kwenye tairi
Unaishia kula mbata kutoka kwa bimkubwa.Ha ha ha tushaachwa sana tupambane na hali zetu! Halafu wakati unaanguka wenzio wote washafika kwao!
Duh wewe ulikuwa na bahati sana, sisi ulikuwa unaambiwa UTAKULA MIGUU YAKODah enzi hizo hadi msosi unapotezea kisa michezo.
Ukirudi home mama ananongwa balaa.
Mama yangu ilikuwa ukimiss lunch anakuwekea na share yako ya jion.
Salama yako ule chakula chote, ukibakiza shughuli unayo. Sasa uwe ulikula kwa watu mchana...hakika hata ujitahidi vipi huwezi maliza
RIP mummy. Amenisaidia sana kunilea ktk maadali mema
Nakumbuka niligongwa na baiskeli hadi kuzimia. Nakuja kuzinduka niko home wanajiandaa kunipeleka zahanati.Sasa hivi nimejiuliza starehe ya kuzungurushwa na lile gurudumu ni nini hata sina jibu!
Dah enzi hizo hadi msosi unapotezea kisa michezo.
Ukirudi home mama ananongwa balaa.
Mama yangu ilikuwa ukimiss lunch anakuwekea na share yako ya jion.
Salama yako ule chakula chote, ukibakiza shughuli unayo. Sasa uwe ulikula kwa watu mchana...hakika hata ujitahidi vipi huwezi maliza
RIP mummy. Amenisaidia sana kunilea ktk maadali mema
Pole sanaNakumbuka niligongwa na baiskeli hadi kuzimia. Nakuja kuzinduka niko home wanajiandaa kunipeleka zahanati.
Nilikuwa naendesha gari ya vigaloni vya bati barabarani. Nikawa nahamahama upande wa barabara mara kulia mara kushoto hamadi paa.
Suti yangu yote ilikuwa damu tupu
Duh hadi kufikia utu uzima tumekwepa mishale mingi sanaNakumbuka niligongwa na baiskeli hadi kuzimia. Nakuja kuzinduka niko home wanajiandaa kunipeleka zahanati.
Nilikuwa naendesha gari ya vigaloni vya bati barabarani. Nikawa nahamahama upande wa barabara mara kulia mara kushoto hamadi paa.
Suti yangu yote ilikuwa damu tupu
Kuna siku alinikuta niko juu ya mti nimekalia tawi likinesanesa. Sina hofu kuwa linaweza katika nami nikaumia.Kweli mama ako amefanya makubwa..
Kabisa mkuu. Ni kwa neema tu tumefika salama utu uzimaDuh hadi kufikia utu uzima tumekwepa mishale mingi sana
Duuu, nyie mlikuwa hatari.Hatari sana asee, kuna ile ya kuwinda ndege na manati. Sasa sisi tukawa tukimaliza kuwinda ndege tunaanza kujificha ile kama kombolela ukitoa tu kichwa au mwili unapewa jiwa la maana la manati. Sitasahau siku Rafiki yangu aliponibutua manati ya jicho, nilikaa ndani mwezi mzima bila kuonana na mwanga na makofi juu ya bimkubwa.