zikaja kuingia na ndala za umoja kama big-g haikatiki aisee inavaliwa mpaka inatoboka..
pika kwa kimbo! pika kwa kimbooo!!
hahahaaaaa Shanti ilikua babu kubwa....vipi chupi za VIP????
Bila ya kusahau Rexona.
Kimboooooo! View attachment 51557
Kimboooooo! View attachment 51557
Wapi TANBOND?Kimboooooo! View attachment 51557
pia ndala za bata toka kiwanda cha bora.enzi za suruali za SAVCO na tshirts za OK,duh!wachaga wenzetu walikuwa wananing'iniza lundo la funguo kwenye lux za suruali hizi!miguuni wanapiga na bonge la buti lilikuwa linaitwa VOIT.duh it was funny kwa kweli!