Kama hujawahi tumia hii Kimbo, basi wewe ni kizazi cha akina Lulu

wakuu enzi hizo kuna uzalendo na nchi kwa 100% nakumbuka ndoo za kuchotea maji zilikuwa za Chuma na chache nyeusi za plastik kutoka Tanga,

- Enzi hizo wanawake wanapiga nywele pasi, wanachuka kipande cha chungu kilicho vunjika wanaweka kwenye moto then wanapiga nywele pasi,

Kipindi hicho ukiwa na nguo nyingi sana ni nne tu na kulikuwa na nguo maalumu za kutokea kwenye harusi na kazalika na ukisha toka kwenye tukio unaivua unaifua na kuiweka kwenye sanduka la mbao na kuweka aina fulani tulikuwa tunaita mayai ya nguo ili nguo inukie ikiwa sandukuni
,
 
wakuu enzi hizo kuna uzalendo na nchi kwa 100% nakumbuka ndoo za kuchotea maji zilikuwa za Chuma na chache nyeusi za plastik kutoka Tanga,

- Enzi hizo wanawake wanapiga nywele pasi, wanachuka kipande cha chungu kilicho vunjika wanaweka kwenye moto then wanapiga nywele pasi,

Kipindi hicho ukiwa na nguo nyingi sana ni nne tu na kulikuwa na nguo maalumu za kutokea kwenye harusi na kazalika na ukisha toka kwenye tukio unaivua unaifua na kuiweka kwenye sanduka la mbao na kuweka aina fulani tulikuwa tunaita mayai ya nguo ili nguo inukie ikiwa sandukuni
,

Lol, tulikua tunakiita kidonge cha nguo! Those days bhana!
 
wakuu enzi hizo kuna uzalendo na nchi kwa 100% nakumbuka ndoo za kuchotea maji zilikuwa za Chuma na chache nyeusi za plastik kutoka Tanga,

- Enzi hizo wanawake wanapiga nywele pasi, wanachuka kipande cha chungu kilicho vunjika wanaweka kwenye moto then wanapiga nywele pasi,

Kipindi hicho ukiwa na nguo nyingi sana ni nne tu na kulikuwa na nguo maalumu za kutokea kwenye harusi na kazalika na ukisha toka kwenye tukio unaivua unaifua na kuiweka kwenye sanduka la mbao na kuweka aina fulani tulikuwa tunaita mayai ya nguo ili nguo inukie ikiwa sandukuni
,

Dah umenikosha sana na coment yako mkuu,
Enzi za suruali za mchelemchele watu tulikuwa na adabu na mavazi bana,
kulikuwa na nguo maalumu ya kushindia,
tulikuwa na nguo maalum za kutokea kama sikukuu/sherehe
me nakumbuka nilikuwa nikitoka kanisani navua zile nguo na kuzifua,enzi hizo tunatumia pasi za mkaa kama huna pasi unazikunja vizuri unaziweka chini ya godoro/mkeka unazilalia kesho unazitoa unahifadhi sandukuni,
Enzi za jeans za Lee/Savco/suruali za Tokyo.
 
Aafu kuna yale mafuta ya korie sijui bado yapo, dah. Ulikua ukienda skonga enzi hizo primary unajipaka mafuta ya korie ugoko wa mguu una meremeta. Usoni ndo usiseme unawaka kama kioo. Na madaftari yako umechomekea matakoni kama msela nondo! Dah...

Tripol nahisi we utakuwa jamaa yangu,maana hiyo ndio ilikuwa mikato yangu na wasela nondo wenzangu,aha ha haaaaaaaaa!!
 
View attachment 51596

Unaogea Rexona ukimaliza unapaka mafuta ya YU

Hahaha yaani nimekumbuka mbali aah!... nayale mafuta mengine ya kujipaka SHANTI, YOLANDA,LADY JAY,
halafu dawa za nywele za kinamama ZAZUU ndipo ikaja kalikiti,maziwa ya kopo B&B yalikuwa mazitooo halafu matamu hayo ,cream za kujipata snow,
 
Yanapatikana pale Uchumi Complex (Quality Plaza), kuna Kimbo, Cowboy na Kasuku. Nayapenda sana hasa kwa mapishi ya chapati, na keki.
 
Kweli mkuu,

RTCs zilikuwa safi sana kama zisingevamiwa na wezi....

Ila mameneja wa maduka ya ushirika ya vijiji walikuwa watu wa kutisha sana...Ukishindwa kuelewana naye basi wewe sahau mgawao wa kila kitu...kuanzia chumvi, sukari, vitenge na hata vitambaa vya kaniki!!

Kuna mmoja kijijini kwetu alikuwa anatembea na wake za watu kama vile hana akili timamu!!

Babu DC!!

Kweli mkuu, hawa mameneja walikuwa wanaonekana kama semi-god enzi zile!
 
Down the memory lane mmenikumbusha mbali wadau... Natamani kurudia enzi zile.
 
wakuu enzi hizo kuna uzalendo na nchi kwa 100% nakumbuka ndoo za kuchotea maji zilikuwa za Chuma na chache nyeusi za plastik kutoka Tanga,

- Enzi hizo wanawake wanapiga nywele pasi, wanachuka kipande cha chungu kilicho vunjika wanaweka kwenye moto then wanapiga nywele pasi,

Kipindi hicho ukiwa na nguo nyingi sana ni nne tu na kulikuwa na nguo maalumu za kutokea kwenye harusi na kazalika na ukisha toka kwenye tukio unaivua unaifua na kuiweka kwenye sanduka la mbao na kuweka aina fulani tulikuwa tunaita mayai ya nguo ili nguo inukie ikiwa sandukuni
,

Mmh! Old is gold. Nakumbuka zile baiskeli za swala; Gonga hapa: www.newint.org/../tanzania/ pia hapa: Riding the Right Road -- New Internationalist
 
kwa kuongeze ubani wa BIG G kitu ambacho kimebakisha hadi leo Tanzania mtu akitaja ubani anasema BiG G ulikuwa na cover jekundu maandishi makubwa ya Njano.

pia kulikuwa na Kiwembe cha pama shap (huenda spelling wrong) yaani kidevu kinan'gara kama taa? yote ni shauri ya pama shap


viatu vya bora rangi ya kijani na viatu vya Jumbo kama sikosei rangi nyeusi huvaa wazee
 
Dah umenikosha sana na coment yako mkuu,
Enzi za suruali za mchelemchele watu tulikuwa na adabu na mavazi bana,
kulikuwa na nguo maalumu ya kushindia,
tulikuwa na nguo maalum za kutokea kama sikukuu/sherehe
me nakumbuka nilikuwa nikitoka kanisani navua zile nguo na kuzifua,enzi hizo tunatumia pasi za mkaa kama huna pasi unazikunja vizuri unaziweka chini ya godoro/mkeka unazilalia kesho unazitoa unahifadhi sandukuni,
Enzi za jeans za Lee/Savco/suruali za Tokyo.

Kipindi hicho tukitumia baiskeli za: SWALA, RALEIGH, FLYING PEUGEON, GAZZELE n.k. Pia Perfume 'YOLANDA'; akina mama wakitumia Cream za AMBI, YU n.k. Those Old Good Days !
 
Back
Top Bottom