Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,317
- 10,938
bila shaka ww ni mchaga manake mlikuwa mnayapata ya magendo kupitia taveta. ila cowboy umeyasahau pamoja na super ghee. enzi hizo tulivaa na ndala za sonex, na chachacha.wengi tuliviita mwisho saa sita. shule tulikwenda na kidumu na ufagio na begi lilikuwa spoti spoti. vitabu hasa vya kiswahili vilikuwa na hadithi kama "brown ashika tama",na somo la uraia liliitwa siasa, na alikuwa siku nyerere anakuja lazima tujipange barabarani kumpokea huku nyimbo kama "tunaimani na nyerere", alama za chama ca mapinduzi jembe na nyundo" yapo mengi ya kukumbuka sana siku hizi watoto wa umri wa akina lulu hawana hizo.
na chupi tulikuwa tunavaa za v.i.p