Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
hahahaaa hako ka wimbo ka tangazo la kimbo duh, ummenkumbusha enzi hizooooooooooopika kwa kimbo! pika kwa kimbooo!!
hahahaaa hako ka wimbo ka tangazo la kimbo duh, ummenkumbusha enzi hizooooooooooopika kwa kimbo! pika kwa kimbooo!!
Kimboooooo! View attachment 51557
bila shaka ww ni mchaga manake mlikuwa mnayapata ya magendo kupitia taveta. ila cowboy umeyasahau pamoja na super ghee. enzi hizo tulivaa na ndala za sonex, na chachacha.wengi tuliviita mwisho saa sita. shule tulikwenda na kidumu na ufagio na begi lilikuwa spoti spoti. vitabu hasa vya kiswahili vilikuwa na hadithi kama "brown ashika tama",na somo la uraia liliitwa siasa, na alikuwa siku nyerere anakuja lazima tujipange barabarani kumpokea huku nyimbo kama "tunaimani na nyerere", alama za chama ca mapinduzi jembe na nyundo" yapo mengi ya kukumbuka sana siku hizi watoto wa umri wa akina lulu hawana hizo.
Mkuu umesahau Voil Mwanza!!Mkuu kama unaweza kukumbuka Supa Ghee, lazima ukumbuke, TanBond! Unakumbuka vitu kama Celerac, Millac Cowboy na Cawliflower, Beef nk? Hayo mavituz yametulea kwa afya njema!
da watu mnakumbukumbu nimekumbuka mbali sana
.Kimboooooo! View attachment 51557
Mkuu watu walikuwa wanasema sabuni ya kuoshea maiti hii !
Kimboooooo! View attachment 51557
Vile vitabu enzi zile vikisomeka sana leo hii ni nadra kuviona : Robinson Crusoe, Sinbad wa Baghdad, Alfu Lela U lela au Siku Alfu na Moja, Hadithi za Kikwetu, Safari za Gulliver, Kisiwa Cha Hazina n.k. Majina ya characters ktk vitabu maarufu, tuliyatumia kama majina ya utani: Bulicheka, Wagagagigikoko,Gagula, Inkoskazi, Umslopogazi, Abunuwas n.k leo hii siyasikii majina haya.
duh, those days!
Na ile ya kopo la plastic
afu yalikuwepo mengine yanaitwa Pride.