Kimboooooo! View attachment 51557
Kimboooooo! View attachment 51557
hebu tukumbushe rangi yake !Aha! Kumbe hii me nilikuwa natumia ndogo yake iko kwenye kikopo kama cha mafuta ya Lay's,ila kalikuwa kanaitwa kibooo.
Kimboooooo! View attachment 51557
hadi uyeyushe.
Ee bwana eh. hiyo ndiyo kimbo orijino enzi za East African Industries. siku hizi EAI imekufa na Unilever ndo inatengeneza Kimbo.
Enzi hizo pia palikuwa na Cowboy halafu huku kwetu Supa Ghee
pika kwa kimbo! pika kwa kimbooo!!
duh, those days!
Na ile ya kopo la plastic
afu yalikuwepo mengine yanaitwa Pride.
pika kwa kimbo! pika kwa kimbooo!!
Ki-mboo...dah zamani kweli iyo...mafuta meupe!
Aafu kuna yale mafuta ya korie sijui bado yapo, dah. Ulikua ukienda skonga enzi hizo primary unajipaka mafuta ya korie ugoko wa mguu una meremeta. Usoni ndo usiseme unawaka kama kioo. Na madaftari yako umechomekea matakoni kama msela nondo! Dah...
Bila ya kusahau Rexona.