Kama hujawahi kuona hizi muvi basi zitafute

Jim Carry is my favourite....he is both a cartoon and human...in movies...I think have seen all of his movies from Dr. Zeus Stealing the Christmas to Dumb and Dumber 2....
 
Mkuu Da'Vinci hizo movies zilikula sana vijisenti vyangu enzi ya utotoni maana tulikua tunazicheki kwenye mabanda ya video tena zikiwa zimetafsiriwa kwa kiswahili na bwana Lufufu Mukandala
Kingilio ilikua tunalipia Tsh.50/= kwa kila movie
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom