1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,326
- 12,691
Mkuu napenda zenye mambo ya FBI na CIA,, ipi kati ya hizo ukiiondoa Salt?
Labda hiyo venom ila zingine nadhani hujaziona
Hizo zote nimeziona.Tatizo watu wanapagawa na movies design ya Black PantherKuna kitu cha apocalypto cha mel gibson kifupi ni kuna movie nyingi mno ambazo ni kali sana kuna moja hivi nadhani inaitwa 2002 kuna lone survivor(hii ni kali mno) behind the enemy line ,the bodyguard from beijing,
Troy brad pitt ni hatari pia..bonge moja la pichaSalt ya Anjela ndo nzuri tuu hapo
Salt ya Anjela ndo nzuri tuu hapo
[/QUO
Frm paris with love (2010)Wakuu kama kuna mtu hajaziona hizi movies basi kwenye ulimwengu wa movies bado sana
View attachment 1181480
😂 😂 😂 😂 😂Jini anavua viatu akiingia ndani hizo movie zenu bhana