Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,592
- 11,831
Kwahiyo unaogopa miili ya watu, dooh hii ni ligi ya mabingwa mkuu huku hakuna watoto wakuonea hovyo we Kama unaogopa basi huku si sehemu sahihi kwako waacheni Azam, biashara na Namungo nyie bakini hapa hapa mpambane na Gwambina.Unaambiwa hiyo njemba ndio WINGA yao, inakimbia KISINDA akasome, alikuwa majeruhi.View attachment 1791217