Byendangwero
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 871
- 56
Kuna tetesi ya kuwa Capt. mstaafu mwenye cheo cha ngazi ya juu katika ccm, jana alielezea mpango wa chama hicho kuvunja bunge, na badala yake kuunda Baraza la Mapinduzi ambalo litajumuisha vyama vyote vya upinzani isipokuwa chadema. Kama kuna yeyote anayeweza kudhibitisha habari hiyo anijulishe. Naomba kuwakilisha.