cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
na huyo muhindi ukute huko alikotoka ana baguliwa vibaya mno so kisirani kinakuwa kwa wafanyakaziNa hapohapo hana elimu wala nini ameletwa bongo kujifunza kazi na analala kwenye makontena ila anavyokusumbua lengo lake uondoke.