tunachokosa ni viongozi wenye akili, busara na utashi wa kisiasa. Wengi ni wahuni wahuni tu kama Bashite.Hii nchi unaweza ukawa unajiuliza maswali mengi "kwa nini hakuna maendeleo na rasilimali zote tulizonazo???"..halafu unachoka zaidi ukiangalia nchi ambazo hazina rasilimali nyingi lakini zaendelea kwa kasi sana kama Botswana,namibia,mauritius,ethiopia..
Zakayo shuka mtini ukombozi umekuja kwakoMbona wakati wa Nyerere kifungo cha muda mrefu ukiondoa mauaji na uhaini ilikua ni miaka 15 tu? huyo aliyehukumiwa miaka 30 ni kwa sheria ip?
tunachokosa ni viongozi wenye akili, busara na utashi wa kisiasa. Wengi ni wahuni wahuni tu kama Bashite.
Unahitaji nitoe uthibitisho upi kuhusu uhuni wa Bashite et al ?Kuwabatiza watu kwamba ni wahuni wahuni unatumia vigezo vipi Diaspora Jay? Hivi wewe matendo yako yote hapa duniani yamenyooka? Ni rahisi kuona uhuni wa mwenzio lakini wa kwako usiuone. Hata hivyo kitendo cha kubatiza wenzio wahuni bila kutoa sababu za msingi kinapelekea na wewe mwenyewe uonekane ‘mhuni mhuni’ mbele ya baadhi ya watu. Heshima haiuzwi.