GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,865
Inasemekana (japo bado naendelea kulithibitisha hili) kwamba mmoja wa viongozi ‘waandamizi‘ kabisa ndani ya CHADEMA alisikika akimwambia mtu kuwa ili uwe Mwenyekiti Taifa wa CHADEMA na uaminike basi ni lazima uwe angalau katika maisha yako ya ‘kutukuka‘ kabisa ndani ya CHADEMA uwe umekumbana na yafuatayo ambayo kwa bahati mbaya Mzee Sumaye hakuwa nayo ndiyo maana yakamshinda na kuachana na siasa.
Uwe:
- Umewahi kuhojiwa kunakopitiliza na Polisi (Mandata)
- Uwe na kesi nyingi Mahakamani na angalau uwe na ufahamu wa Mahakama ya Kisutu ilivyo
- Uwe umewahi kulala sana polisi au gerezani na hata ukiwa uraiani basi uonekane unatamani kufungwa
Kazi kweli kweli hakyanani!
Uwe:
- Umewahi kuhojiwa kunakopitiliza na Polisi (Mandata)
- Uwe na kesi nyingi Mahakamani na angalau uwe na ufahamu wa Mahakama ya Kisutu ilivyo
- Uwe umewahi kulala sana polisi au gerezani na hata ukiwa uraiani basi uonekane unatamani kufungwa
Kazi kweli kweli hakyanani!