Ramon Abbas
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 1,964
- 3,900
Kama hii timu unaijua yote basi ushakuwa mtu mzima sana na hivyo nguvu za mwili za kupambana na corona zimepungua
Nitakushangaa ukiendelea kudanganywa na vitoto vya mwaka 2000 hebu kimbia wahi chanjo acha ujinga.
Mzungu angekuwa na nia mbaya na wewe basi angekuulia kwenye njia nyingine kama kukuwekea virusi vya ukimwi kwenye condom ama vyovyote vile maana 90% ya maisha yetu kiafya tunamtegemea yeye