respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,557
- 3,835
Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.
Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.
Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.
Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.
Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.
Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.
Mungu ibariki Tanzania.
Paskali
=====================
Ni wachache sana wenye akili kama hizi, tena niwe mkweli, sijawahi kumsifia mtu kama hivi. Ila Pascal Mayalla ni mtu uliyejaaliwa akili nyingi na uwezo wa kutazama mambo kwa mbali!. Hongera kwa hilo
Yote yaliyotabiliwa nawe ndo tunayoyashuhudia na mbaya zaidi hatujui tutatoka vipi kwenye mkwamo huu.. ni kama tumelidhika vile..!!
BACK TANGANYIKA
Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.
Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.
Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.
Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.
Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.
Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.
Mungu ibariki Tanzania.
Paskali
=====================
Ni wachache sana wenye akili kama hizi, tena niwe mkweli, sijawahi kumsifia mtu kama hivi. Ila Pascal Mayalla ni mtu uliyejaaliwa akili nyingi na uwezo wa kutazama mambo kwa mbali!. Hongera kwa hilo
Yote yaliyotabiliwa nawe ndo tunayoyashuhudia na mbaya zaidi hatujui tutatoka vipi kwenye mkwamo huu.. ni kama tumelidhika vile..!!
BACK TANGANYIKA