Elections 2015 Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
=====================

Ni wachache sana wenye akili kama hizi, tena niwe mkweli, sijawahi kumsifia mtu kama hivi. Ila Pascal Mayalla ni mtu uliyejaaliwa akili nyingi na uwezo wa kutazama mambo kwa mbali!. Hongera kwa hilo

Yote yaliyotabiliwa nawe ndo tunayoyashuhudia na mbaya zaidi hatujui tutatoka vipi kwenye mkwamo huu.. ni kama tumelidhika vile..!!

BACK TANGANYIKA
 
Wanabodi,

Kuna hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa.



Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya Magufuli ni serikali haramu na serikali iliyopatikana kwa njia za udhalimu kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa taifa letu.

Kwa mujibu wa katiba yetu, Tume ya Uchaguzi, ikiisha kumtangaza fulani ndie mshindi, kwa tangazo hilo ndio limehitimisha rasmi mchakato wote wa urais.

Mgombea urais akiishatangazwa kuwa ni mshindi, regardless amepatikanaje, kihalali au kiharamu, by means of hooks or crooks, kwa bao la kisigino, faulo au bao la mkono, as long as yeye ndie ametangazwa mshindi, this is the end that justifies the means!, there is nothing more anyone can do, ukubali usikubali matokeo, uwe ulimchagua, au hukumchagua, umtambue, au usimtambue, its never gonna change a thing!, huyu sasa ndie rais wetu and this is a fact!.

Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.

Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!.

Kwa wale wote waliomchagua Lowassa lakini haki zenu zikadhulumiwa, poleni sana!, Mungu atawalipia.

Na wale wengine wote wanaoshangilia ushindi haramu, ushindi dhalimu, hawa wanashangilia ujinga!, hawa nao pia watakuwa na sehemu ya malipo yao kwenye karma.

Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali

Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa
Ulitabiri mkuu yote yanatokea sasa Pascal Mayalla
 
Wanabodi,

Naomba kuanza na angalizo. Hli ni bandiko la dhana tuu ya kufikirika, hypothetical situation kuwa if A is true, then B is true, if it is not true, then its not!. Hivyo kwa euelewa wa mashaka wa wengi wetu humu, msije kushangaa wakashindwa kuiona hicho kitangulizi cha "kama ni kweli", na kupelekea kudhania nimesema serikali yetu ni serikali dhalimu!, ninachosema hapa ni kama hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa ni kweli, then..



Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya rais Magufuli itakuwa ni serikali haramu na serikali iliyopatikana kwa njia za udhalimu na udanganyifu wa kwenye sanduku la kura, kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa taifa letu kwa mujibu wa sheria ya karma.

Kwa mujibu wa katiba yetu, Tume ya Uchaguzi, ikiisha kumtangaza fulani ndie mshindi, kwa tangazo hilo ndio limehitimisha rasmi mchakato wote wa uchaguzi wa urais.

Mgombea urais akiishatangazwa kuwa ni mshindi, regardless amepatikanaje, kihalali au kiharamu, by means of hooks or crooks, kwa bao la kisigino, faulo au bao la mkono, as long as yeye ndie ametangazwa mshindi, this is the end that justifies the means!, there is nothing more anyone can do, ukubali usikubali matokeo, uwe ulimchagua, au hukumchagua, umtambue, au usimtambue, its never gonna change a thing!, huyu sasa ndie rais wetu and this is a fact!.

Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.

Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!.

Kwa wale wote waliomchagua Lowassa lakini haki zenu zikadhulumiwa, poleni sana!, Mungu atawalipia.

Na wale wengine wote wanaoshangilia ushindi haramu, ushindi dhalimu, hawa wanashangilia ujinga!, hawa nao pia watakuwa na sehemu ya malipo yao kwenye karma.

Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali

Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa
Hakika hili jambo ulishuhudiwa na ROHO MTAKATIFU!

Bwana wa Majeshi azidi kukubariki na karama nyingi zaidi pascal, Ahimidiwe Bwana wa Majeshi milele na milele Amina.
 
Wanabodi,
Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign terror and of an iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
Nafanya tuu tafakuri kuhusu mambo fulani ya kitu kinachoitwa karma kuhusiana na majanga mbalimbali.
P.
 
Nafanya tuu tafakuri kuhusu mambo fulani ya kitu kinachoitwa karma kuhusiana na majanga mbalimbali.
P.
Tafakuri yako iko vizuri sana, Mshukuru Mungu kwa kukujalia karama ya kuona mbali. kuna wengine wakifanya tafakuri kidogo tu njaa inauma na wanahamia CCM na uchaguzi unarudiwa, na walala hoi wanakuwa hoi Zaidi, wengine wanapata ajali kwenye vyombo vya usafiri wa majini ambavyo havina hata maboya, watu wanajazana ovyo, hakuna utaratibu wowote.

Uko vizuri mkuu, Hongera sana
 
Ushauri wa bure kwa Lowassa, Najua anaunga mkono juhudi, kwanza halafu kwa kwenda ikulu kinyemela, kwenda kupongeza, na sasa kuanza kahudhuria shughuli mbambali za maendeleo zinazo hutubiwa na rais Magufuli.

Nami nimpongeze Mhe. Lowassa, kwa the spirit upinzani sio uadui, now its just a matter of time tuu naye ataunga mkono juhudi.

Ombi moja kwake, kama alivyotoa statement hii kwenye bandiko hili, then atoe statement nyingine kilikanusha hii statement ya bandiko hili kwa kusema hii statement ilikuwa ni uongo tuu, ni siasa tuu, sisi wapenzi wake na wafuasi wake, tutamwelewa.

Na akiunga rasmi mkono juhudi, sisj nasi, tutaunga naye.

P
 
Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka mitatu hakuna ongezeko la mshahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali kuhusu figisu figisu za kwenye uchaguzi mkuu ambapo kila anayeshindwa, hakubali kushindwa kihalali kwenye sanduku la kura katika uchaguzi huru na wa haki, na badala yake huja na tuhuma za kuibiwa kura, kupokwa ushindi halali, na kususia matokeo, hivyo bandiko hili ni swali, Kama Tuhuma Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu? iliyoingia madarakani kwa hila, udhalimu na ulaghai?. Kama ni kweli, then Hukumu ya Karma ii Juu Serikali Yetu!. Na kama sii kweli, then tutashuhudia rais Magufuli na serikali yake, wakibarikiwa, nchi yetu ikibarikiwa na kupata neema na ustawi.

Naomba kuanza na angalizo. Hli ni bandiko swali la dhana tuu ya kufikirika, hypothetical situation kuwa if A is true, then B is true, if it is not true, then its not!. Hivyo kwa euelewa wa mashaka wa wengi wetu humu, msije kushangaa wakashindwa kuiona hicho kitangulizi cha "kama ni kweli", na kupelekea kudhania nimesema serikali yetu ni serikali dhalimu!, ninachosema hapa ni kama hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa ni kweli, then..



Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya rais Magufuli itakuwa ni serikali haramu na serikali iliyopatikana kwa njia za udhalimu na udanganyifu wa kwenye sanduku la kura, kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa taifa letu kwa mujibu wa sheria ya karma.

Kwa mujibu wa katiba yetu, Tume ya Uchaguzi, ikiisha kumtangaza fulani ndie mshindi, kwa tangazo hilo ndio limehitimisha rasmi mchakato wote wa uchaguzi wa urais.

Mgombea urais akiishatangazwa kuwa ni mshindi, regardless amepatikanaje, kihalali au kiharamu, by means of hooks or crooks, kwa bao la kisigino, faulo au bao la mkono, as long as yeye ndie ametangazwa mshindi, this is the end that justifies the means!, there is nothing more anyone can do, ukubali usikubali matokeo, uwe ulimchagua, au hukumchagua, umtambue, au usimtambue, its never gonna change a thing!, huyu sasa ndie rais wetu and this is a fact!.

Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.

Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!.

Kwa wale wote waliomchagua Lowassa lakini haki zenu zikadhulumiwa, poleni sana!, Mungu atawalipia.

Na wale wengine wote wanaoshangilia ushindi haramu, ushindi dhalimu, hawa wanashangilia ujinga!, hawa nao pia watakuwa na sehemu ya malipo yao kwenye karma.

Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali

Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa

Pascal bhana, sasa unataka kusemaje?

Sheria ya karma hufuata penye shida...sawa na ulivyosema tusubiri baraka au laana
 
Baada ya Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni super man, nimemkumbuka naomba nimdurusu kidogo, niliwaji kusema nini humu kumhusu mtu huyu.

P.
 
Kama tuhuma hizi za Edward Lowassa ni kweli kuwa ushindi wa Magufuli umetokana na hila na dhulma katika uchaguzi mkuu, then hasira ya Mungu itatuwakia juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na sisi wote kama taifa, we will all suffer!, tutasuffer sana na kuna watu hadi wataangamia!.
Kufuatia kujitokeza kwa wafananishaji hoja humu jf, naomba kujitokeza kuliwekea caveat bandiko langu hili, lisije likafananishwa. Ajali ya Msamvu, iliyotokea leo asubuhi na kusababisha vifo vingi, ni ajali tuu ya janga, yaani tragedy, ilijitokea tuu, na sio miongoni mwa majanga na ma balaa niliyoyasema kwenye bandiko hili!.
P.
 
Ni wachache sana wenye akili kama hizi, tena niwe mkweli, sijawahi kumsifia mtu kama hivi. Ila Pascal Mayalla ni mtu uliyejaaliwa akili nyingi na uwezo wa kutazama mambo kwa mbali!. Hongera kwa hilo

Yote yaliyotabiliwa nawe ndo tunayoyashuhudia na mbaya zaidi hatujui tutatoka vipi kwenye mkwamo huu.. ni kama tumelidhika vile..!!
BACK TANGANYIKA
Mkuu Respect wa Boda, mimi sio mtabiri!.
P
 
Wanabodi,
Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.
Kuna kitu niliwahi kukisema kwenye bandiko hili kuhusu udhalimu.

Zuio la Marekani kwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ni uthibitisho wa mwanzo kuwa kuna udhalimu fulani unaofanywa na serikali yetu kupitia kwa baadhi ya viongozi wake kwa kuwatendea visivyo Watanzania.

Kitendo cha taifa la nje kushindwa kuvumilia hadi kuweka zuio ni uthibitisho kuwa
1. Ama wakubwa hawa wana jicho kali lenye uwezo wa kuona mbali na ndani kuliko uwezo wa jicho la serikali yetu, hivyo sasa baada ya kumzuia Makonda, serikali itaonyesha ushirikiano na Marekani kwa kuomba ipewe hizo taarifa na ikizithibitisha, then Makonda apewe haki yake sawasawa na matendo yake.
2. Ama yote Makonda anayotuhumiwa nayo serikali ya Marekani ni mambo ya kweli, na serikali ama unajua na imenyamaza, au serikali ndio ilikuwa inamtuma Makonda kuyatenda hayo ndio maana inamlinda, na hata sasa baada ya tuhuma hizi za Marekani, bado serikali itaendelea kumlinda na kumbeba. Na huu sasa ndio utakuwa ni uthibitisho wa udhalimu, na hapa Makonda hatakuwa peke yake, watakuwa wengi wakiongozwa na mtoa amri!, hivyo kama hii ya pili ni kweli, then kitu pekee kinachoweza kuishughulikia serikali ya aina hii inayofanya udhalimu kwa watu wake ni karma pekee!.

P
 
Wanabodi,

Hili ni bandiko la swali kuhusu figisu figisu za kwenye uchaguzi mkuu ambapo kila anayeshindwa, hakubali kushindwa kihalali kwenye sanduku la kura katika uchaguzi huru na wa haki, na badala yake huja na tuhuma za kuibiwa kura, kupokwa ushindi halali, na kususia matokeo, hivyo bandiko hili ni swali, Kama Tuhuma Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu? iliyoingia madarakani kwa hila, udhalimu na ulaghai?. Kama ni kweli, then Hukumu ya Karma ii Juu Serikali Yetu!. Na kama sii kweli, then tutashuhudia rais Magufuli na serikali yake, wakibarikiwa, nchi yetu ikibarikiwa na kupata neema na ustawi.


Naomba kuanza na angalizo. Hli ni bandiko swali la dhana tuu ya kufikirika, hypothetical situation kuwa if A is true, then B is true, if it is not true, then its not!. Hivyo kwa euelewa wa mashaka wa wengi wetu humu, msije kushangaa wakashindwa kuiona hicho kitangulizi cha "kama ni kweli", na kupelekea kudhania nimesema serikali yetu ni serikali dhalimu!, ninachosema hapa ni kama hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa ni kweli, then..



Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya rais Magufuli itakuwa ni serikali haramu na serikali iliyopatikana kwa njia za udhalimu na udanganyifu wa kwenye sanduku la kura, kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa taifa letu kwa mujibu wa sheria ya karma.

Kwa mujibu wa katiba yetu, Tume ya Uchaguzi, ikiisha kumtangaza fulani ndie mshindi, kwa tangazo hilo ndio limehitimisha rasmi mchakato wote wa uchaguzi wa urais.

Mgombea urais akiishatangazwa kuwa ni mshindi, regardless amepatikanaje, kihalali au kiharamu, by means of hooks or crooks, kwa bao la kisigino, faulo au bao la mkono, as long as yeye ndie ametangazwa mshindi, this is the end that justifies the means!, there is nothing more anyone can do, ukubali usikubali matokeo, uwe ulimchagua, au hukumchagua, umtambue, au usimtambue, its never gonna change a thing!, huyu sasa ndie rais wetu and this is a fact!.

Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.

Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!.

Kwa wale wote waliomchagua Lowassa lakini haki zenu zikadhulumiwa, poleni sana!, Mungu atawalipia.

Na wale wengine wote wanaoshangilia ushindi haramu, ushindi dhalimu, hawa wanashangilia ujinga!, hawa nao pia watakuwa na sehemu ya malipo yao kwenye karma.


Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of terror and iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kama tuhuma hizi za Edward Lowassa ni kweli kuwa ushindi wa Magufuli umetokana na hila na dhulma katika uchaguzi mkuu, then hasira ya Mungu itatuwakia juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na sisi wote kama taifa, we will all suffer!, tutasuffer sana na kuna watu hadi wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then rais John Pombe Joseph Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Kupitia kwa Magufuli, Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo makubwa ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.


Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali

Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa
Mkuu pasco
Nimesoma kwa kina hili bandiko lako na nimegundua kuwa limejibu indirect, maswali uliyoyaacha katika ule uzi wa 2014 ,kuwa next President COULD BE JOHN POMBE MAGUFULI

Katika hili bandiko umejibu kwa kujua au kutokujua sababu za Magufuli kuwa Rais ambazo ulikataa kuzitaja katika uzi wa 2014 na baada ya jamaa kuwa rais

Asante sana kwa majibu yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu niliwahi kukisema kwenye bandiko hili kuhusu udhalimu.

Zuio la Marekani kwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, ni uthibitisho wa mwanzo kuwa kuna udhalimu fulani unaofanywa na serikali yetu kupitia kwa baadhi ya viongozi wake kwa kuwatendea visivyo Watanzania.

Kitendo cha taifa la nje kushindwa kuvumilia hadi kuweka zuio ni uthibitisho kuwa
1. Ama wakubwa hawa wana jicho kali lenye uwezo wa kuona mbali na ndani kuliko uwezo wa jicho la serikali yetu, hivyo sasa baada ya kumzuia Makonda, serikali itaonyesha ushirikiano na Marekani kwa kuomba ipewe hizo taarifa na ikizithibitisha, then Makonda apewe haki yake sawasawa na matendo yake.
2. Ama yote Makonda anayotuhumiwa nayo serikali ya Marekani ni mambo ya kweli, na serikali ama unajua na imenyamaza, au serikali ndio ilikuwa inamtuma Makonda kuyatenda hayo ndio maana inamlinda, na hata sasa baada ya tuhuma hizi za Marekani, bado serikali itaendelea kumlinda na kumbeba. Na huu sasa ndio utakuwa ni uthibitisho wa udhalimu, na hapa Makonda hatakuwa peke yake, watakuwa wengi wakiongozwa na mtoa amri!, hivyo kama hii ya pili ni kweli, then kitu pekee kinachoweza kuishughulikia serikali ya aina hii inayofanya udhalimu kwa watu wake ni karma pekee!.

P
Mkuu, naheshimu sana upeo wako sichoki kukufatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali
=====================

Ni wachache sana wenye akili kama hizi, tena niwe mkweli, sijawahi kumsifia mtu kama hivi. Ila Pascal Mayalla ni mtu uliyejaaliwa akili nyingi na uwezo wa kutazama mambo kwa mbali!. Hongera kwa hilo

Yote yaliyotabiliwa nawe ndo tunayoyashuhudia na mbaya zaidi hatujui tutatoka vipi kwenye mkwamo huu.. ni kama tumelidhika vile..!!

BACK TANGANYIKA
Respect wa Boda upo? Mawazo yako haya yanaishi.
 
Back
Top Bottom