Elections 2015 Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!

Humu humu JF Kwa miaka 10 tulikuwa tukilalamika kuhusu kodi, Uzembe, Wizi wa Mali za umaa. Leo rumempata MTU wa kuthibiti ujinga huo. Tunalalamika zaidi ya tulivyokuwa tunalalamika. Wafanyabiashara awaingii ikulu ovyo ovyo. Shangazi Na wajomba Na kaka Na walevi wa pombe hakuna. Rais wa Zambia alilalamika akuna via wa mvinyo ikulu
 
Wanabodi,

Kuna hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa.



Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya Magufuli ni serikali haramu na serikali dhalimu!. Kwa mujibu wa katiba yetu, Tume ya Uchaguzi, ikiisha kumtangaza fulani ndie mshindi, kwa tangazo hilo ndio limehitimisha rasmi mchakato wote wa urais.

Mgombea urais akiishatangazwa kuwa ni mshindi, regardless amepatikanaje, kihalali au kiharamu, by means of hooks or crooks, kwa bao la kisigino, faulo au bao la mkono, as long as yeye ndie ametangazwa mshindi, this is the end that justifies the means!, there is nothing more anyone can do, ukubali usikubali matokeo, uwe ulimchagua, au hukumchagua, umtambue, au usimtambue, its never gonna change a thing!, huyu sasa ndie rais wetu and this is a fact!.

Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.

Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!.

Kwa wale wote waliomchagua Lowassa lakini haki zenu zikadhulumiwa, poleni sana!, Mungu atawalipia.

Na wale wengine wote wanaoshangilia ushindi haramu, ushindi dhalimu, hawa wanashangilia ujinga!, hawa nao pia watakuwa na sehemu ya malipo yao kwenye karma.

Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye chaguo la Mungu la rais wa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali

Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa
Mkuu pasco ukichukua naneno ya mmasai ukilinganisha na alichofanya jecha znz wapata jibu gani kichwani kwako?
 
Post zako nyingi sana zina mashiko,lakini inanisikitisha sana kwamba kuna jambo moja ambalo linafanya yote hayo unayozungumza yakose tija.Jambo hili lisingekuwapo,basi yale unayozungumza yangekuwa na maana na tija kubwa kwa watanzania.
-Jambo hili ndilo lililonifanya nisipoteze muda kujiandikisha kupiga kura kwa muda mrefu sasa ingawa wengi wanaonifahamu walinipinga.
-Jambo hili ndilo linalofanya mchakato wa katiba mpya usifanikiwe.
-Jambo hili ndilo linalofanya hata baadhi ya vifungu katika katiba ya sasa visifuatwe.
-Jambo hili ndilo linasababisha mambo mengi machafu yasiyo na idadi kiasi cha kushindwa kuyaweka yote hapa ubaoni.

Jambo hili ni 'watu wanaotuongoza nyuma ya pazia' au naweza kusema 'dark government'/serikali isiyoonekana.Watu hawa si ule mfumo wa CCM kama wengi wanavyofikiri na wala si usalama wa taifa.Hawa ndio wanaomuweka rais wamtakaye madarakani,na hata wakimuweka rais aliyechaguliwa na wananchi basi lazima afuate matakwa yao kwenye mambo mazito mazito yanayohusu uchumi.Watu hawa wana elimu ya juu zaidi kuliko sisi.

Jambo hili wengi hulidharau na kulichukulia kama ni hadithi za Abunuasi kujenga nyumba angani.Ndio maana hatufanikiwi kwa muda mrefu sana katika masuala ya kisiasa na uchumi kutokana na kilema hiki tulichonacho cha kutojua ukweli huu.Cha msingi ni kujua kiini cha tatizo,halafu ndio tujue jinsi ya kulitatua tatizo.Sina maana kwamba hatuwezi kushindana na watu hawa,bali elimu na ujuzi wa kiini cha tatizo ndio msingi wa utatuzi,sisi hatujui kiini cha tatizo,tunagusa juu juu tu.

Hili ni suala pana sana,linanipa uvivu kuandika kila kitu.Lakini tutake tusitake,ukweli ni kwamba rais wetu akiwa na urafiki na watu hawa lazima awe adui na wananchi wake,vinginevyo,rais wetu akiwa rafiki wa wananchi wake,basi lazima awe na uadui na watu hawa.Ukiwa na urafiki na watu hawa,kamwe huwezi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenye ile mahakama ya kimataifa bila kujali kama umeua watu wangapi nchini kwako.Watu hawa wakisema wanamtambua Lowassa kama rais basi atakuwa rais,wakisema wanamtambua Magufuli kama rais basi atakuwa rais.Wananchi hawana maamuzi juu nchi yao.(Rejea statement ya Joseph Stalin wa Urusi ya zamani kuhusu wananchi na uchaguzi).

Tuko gizani,ukombozi pekee tulionao sasa ni elimu sahihi kuhusu kiini cha tatizo,na si ushabiki.Tusidanganyike kwamba eti serikali yetu inasaini mikataba mibovu,ukweli ni kwamba serikali inasainishwa mikataba mibovu,haisaini kwa ridhaa yake.Nani anaijua mikataba ya madini mfano gesi na urani?Mkiijua mtalia sana,ni bora msiijue ili muishi kwa amani rohoni mwenu.Nani anajua kwanini Kiwete alikwenda sana Marekani kabla ya uchaguzi?Sehemu kubwa sana za muhimu katika nchi hii zimeshauzwa na nyingine tumesainishwa mikataba inayodumu kwa zaidi ya miaka 80 au 90?Kiini cha tatizo ndio mpango mzima.

Huwezi kutatua tatizo kwa kutaka katiba mpya bila kujiuliza kwa nini hata ile iliyopo haitekelezwi.Kama watu wanakiuka hata mafundisho ya Mungu wao kwenye misaafu,itakuwa katiba iliyoandikwa na binadamu?

Mifumo katika sekta ya elimu,afya,madini,kilimo na viwanda imekamatwa kisawasawa na watu hawa.Huwezi kuboresha sekta hizo nilizozitaja kama una urafiki na watu hawa.Wapo waliowahi kupingana na watu hawa lakini hivi sasa hawapo kwenye uso wa dunia.Najua pia kwamba kuna udhaifu binafsi wa viongozi ambao hauchangiwi na watu hawa,lakini ukweli unabaki palepale kwamba watu hawa ndio wameshikilia sehemu kubwa muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.

Huu ndio mfumo/utawala ulio nyuma ya pazia/dark government ambao ndio unaathiri hatua yoyote ya kimaendeleo nchini kwetu.Kikwete alijiamini sana kwamba CCM watashinda kutokana na kuahidiwa na watu hawa.

Mambo yaliyojificha yanayoonesha kwamba hawa viongozi wetu wana ujamaa na watu hawa;
1.Angalia Kikwete jinsi anavyosalimiana na Obama,halafu linganisha na Kikwete jinsi alivyo grip mkono wake na Magufuli jana.

2.Angalia Uhuru Kenyata jinsi alivyosalimiana na Obama na John Kerry.

3.Fautilia Kikwete jinsi alivyosalimiana na Uhuru Kenyata.

Haya ni kwa uchache tu.Watu wanaweza kuona kama ni maigizo,lakini haya yanaashiria kuna nguvu kubwa inayotutawala,tusipopata elimu sahihi kuhusu jambo hili tutaendelea kutawaliwa milele huku tukibaki kufanya ushabiki wa vyama vya siasa kama ilivyo kwenye soka.
Mkuu tafadhali fafanua kidogo kuhusu dark government
 
Nani unayemfungia na kumwombea huyo kwenye picha? Mzee wa michanganyo? Usipoteze muda kale ulale

LOWASA.jpg
Mmmm
Kumbe aliingia kwa matapeli wakuu.
Kweli lazima aumie kwa sababu ametumia pesa nyingi.
 
Pasco nimeanza kujiogopa aisee
nilisema lazima Pasco atazungumzia karma....nikawa naingia JF nitazame thread gani utaanzisha
halafu nakuta kweli umeanzisha thread kuhusu Karma....nimejiogopa mkuu..

Kwa kuongeza mkuu Pasco.....nimejiuliza ni bahati mbaya makamu mteule anaitwa Suluhu?
tazama hilo jina.....vowels zinajirudia kama Nyerere Kawawa Makamba Jakaya...nafikiri umeelewa kitu hapo..
Mkuu The Boss, as times go by naanza kukubaliana na numerology, kwa matukio yanayoendelea nchi hii, nadhani very soon tutakuja kuuona umuhimu wa hili jina Suluhu.

Halikutokea kwa bahati tuu au just a coincidence, but everything and every move ni premeditated.
Let's wait and see.
Paskali
 
Haya mambo yalitabiriwa 2015 yameanza kuonekana

Tunatawaliwa kwa mkono wa chuma 'iron hand'

Uchaguzi wa marudio kwa upinzani kushinda ni ndoto.

Wanataka chama kimoja ndio kitamalaki!

Mungu atusaidie
 
Wanabodi,

Kuna hii tuhuma iliyotolewa leo na Edward Lowassa.



Kama tuhuma hii ni kweli, then serikali ya Magufuli ni serikali haramu na serikali iliyopatikana kwa njia za udhalimu kitu ambacho sio kizuri kwa mustakabali mwema wa taifa letu.

Kwa mujibu wa katiba yetu, Tume ya Uchaguzi, ikiisha kumtangaza fulani ndie mshindi, kwa tangazo hilo ndio limehitimisha rasmi mchakato wote wa urais.

Mgombea urais akiishatangazwa kuwa ni mshindi, regardless amepatikanaje, kihalali au kiharamu, by means of hooks or crooks, kwa bao la kisigino, faulo au bao la mkono, as long as yeye ndie ametangazwa mshindi, this is the end that justifies the means!, there is nothing more anyone can do, ukubali usikubali matokeo, uwe ulimchagua, au hukumchagua, umtambue, au usimtambue, its never gonna change a thing!, huyu sasa ndie rais wetu and this is a fact!.

Kitu kizuri kuhusu haki, haki kamwe huwa haipotei, hata kama sio kwa dunia hii, bali kwa dunia ijayo, na ubaya siku zote huwa haulipi na malipo yote ni hapa hapa duniani, hata kama sio kwako, then kwa kizazi chako!.

Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!.

Kwa wale wote waliomchagua Lowassa lakini haki zenu zikadhulumiwa, poleni sana!, Mungu atawalipia.

Na wale wengine wote wanaoshangilia ushindi haramu, ushindi dhalimu, hawa wanashangilia ujinga!, hawa nao pia watakuwa na sehemu ya malipo yao kwenye karma.

Na kama ni kweli Magufuli ameupata urais wa Tanzania kwa hila, na udhalimu, then tutashuhudia utawala wa mkono wa chuma, the reign of iron hand. Mtashuhudia udikiteta na udhalimu wa ajabu, kuna watu kwa sasa wanashangilia, lakini mwisho wa siku, watakuja kulia na kusaga meno!.

Kama uchaguzi mkubwa hivi wa rais na wabunge kumeweza kufanyika hila, hii inamaanisha kule ambako wapinzani wameshinda ni maeneo ambako hila zimeshindikana, hivyo kwa uchaguzi wa 2020, wapinzani jiandaeni kuyarejesha majimbo karibu yote na nchi kurejea kwenye mfumo wa chama kimoja.

Kipimo cha hili kitapimwa kwa chaguzi ndogo zozote zitakazotokea hapa katikati, kwanza upinzani hautaweza tena kushinda uchaguzi wowote, na kama kiti cha ubunge au udiwani kilichokuwa kinashikiliwa na upinzani kitakuwa wazi, uchaguzi wa marudio utakirudisha CCM kwa mbinu zile zile dhalimu by hooks and crooks!.

Kwa hili hasiri ya Mungu itawaka juu ya Tanzania yetu, tutapata mabalaa na majanga ya ajabu kwa sababu ya hasira ya Mungu, na as taifa tutasuffer ba kuna watu wataangamia!.

Ila pia, endapo tuhuma hizi ni za uongo, ni za kupika na ni uzushi, then John Pombe Magufuli, ndiye rais chaguo la Mungu kwa Tanzania aliyetangazwa mshindi siku yake ya kuzaliwa!, katika uchaguzi huru na wa haki, hivyo atasimama test in time, of which time will tell!.

Tanzania itapata neema, mafanikio na maendeleo ya ajabu kwa sababu ya baraka za Mungu zitakuwa juu yake, nchi yetu inakwenda kageuka kuwa ni ile nchi ya ahadi ya maziwa na asali.


Neno litasimama, mambo mengine yote yatapita, lakini neno litasimama!.

Mungu ibariki Tanzania.

Paskali

Kwa rejea mambo ya karma, karibu mitaa hii
"The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili
"Bora Katiba", Tuikubali!, Tusiichukie CCM!, Kwa Sababu
When Karma comes calling, she stings like a bitch
Psychic Powers: Ni Nguvu za Kufanya Miujiza. Wengi wanaz
"Will Powers!", "Faith Healing!"-Nguvu ya Miujiza Ya Uponyaji kwa
 
Namshauri Mhe. Lowassa, kuwa baada ya kumtembelea rais Magufuli pale Ikulu, na kumsifu, asiishie kusifu tuu, bali pia aibatilishe hii kauli yake, kwenye bandiko hili.

Japo kuna wengi watamlaumu Lowassa kwenda ikulu na kumsifikia rais Magufuli, hadi wengine kudhania, hii ndio bisha hodi ya jinsi ya kurejea CCM, lakini kwa wale tunaojua mambo ya ndani ya kifamilia, tunaamini safari ya Lowassa kumuona Magufuli, has more to do with family matters than political maters, soon kuna issue fulani ya kifamilia itakuwa resolved kutokana na ziara hii, ikiishakuwa resolved, nitawaeleza na ndipo mtamuelewa Mhe. Lowassa, nawaombeni sana msimbeze, family comes first besides everything else!. Mimi namuunga mkono Lowassa na kuunga mkono kumtembelea rais Magufuli.

Paskali
 
Post zako nyingi sana zina mashiko,lakini inanisikitisha sana kwamba kuna jambo moja ambalo linafanya yote hayo unayozungumza yakose tija.Jambo hili lisingekuwapo,basi yale unayozungumza yangekuwa na maana na tija kubwa kwa watanzania.
-Jambo hili ndilo lililonifanya nisipoteze muda kujiandikisha kupiga kura kwa muda mrefu sasa ingawa wengi wanaonifahamu walinipinga.
-Jambo hili ndilo linalofanya mchakato wa katiba mpya usifanikiwe.
-Jambo hili ndilo linalofanya hata baadhi ya vifungu katika katiba ya sasa visifuatwe.
-Jambo hili ndilo linasababisha mambo mengi machafu yasiyo na idadi kiasi cha kushindwa kuyaweka yote hapa ubaoni.

Jambo hili ni 'watu wanaotuongoza nyuma ya pazia' au naweza kusema 'dark government'/serikali isiyoonekana.Watu hawa si ule mfumo wa CCM kama wengi wanavyofikiri na wala si usalama wa taifa.Hawa ndio wanaomuweka rais wamtakaye madarakani,na hata wakimuweka rais aliyechaguliwa na wananchi basi lazima afuate matakwa yao kwenye mambo mazito mazito yanayohusu uchumi.Watu hawa wana elimu ya juu zaidi kuliko sisi.

Jambo hili wengi hulidharau na kulichukulia kama ni hadithi za Abunuasi kujenga nyumba angani.Ndio maana hatufanikiwi kwa muda mrefu sana katika masuala ya kisiasa na uchumi kutokana na kilema hiki tulichonacho cha kutojua ukweli huu.Cha msingi ni kujua kiini cha tatizo,halafu ndio tujue jinsi ya kulitatua tatizo.Sina maana kwamba hatuwezi kushindana na watu hawa,bali elimu na ujuzi wa kiini cha tatizo ndio msingi wa utatuzi,sisi hatujui kiini cha tatizo,tunagusa juu juu tu.

Hili ni suala pana sana,linanipa uvivu kuandika kila kitu.Lakini tutake tusitake,ukweli ni kwamba rais wetu akiwa na urafiki na watu hawa lazima awe adui na wananchi wake,vinginevyo,rais wetu akiwa rafiki wa wananchi wake,basi lazima awe na uadui na watu hawa.Ukiwa na urafiki na watu hawa,kamwe huwezi kushitakiwa na kuhukumiwa kwenye ile mahakama ya kimataifa bila kujali kama umeua watu wangapi nchini kwako.Watu hawa wakisema wanamtambua Lowassa kama rais basi atakuwa rais,wakisema wanamtambua Magufuli kama rais basi atakuwa rais.Wananchi hawana maamuzi juu nchi yao.(Rejea statement ya Joseph Stalin wa Urusi ya zamani kuhusu wananchi na uchaguzi).

Tuko gizani,ukombozi pekee tulionao sasa ni elimu sahihi kuhusu kiini cha tatizo,na si ushabiki.Tusidanganyike kwamba eti serikali yetu inasaini mikataba mibovu,ukweli ni kwamba serikali inasainishwa mikataba mibovu,haisaini kwa ridhaa yake.Nani anaijua mikataba ya madini mfano gesi na urani?Mkiijua mtalia sana,ni bora msiijue ili muishi kwa amani rohoni mwenu.Nani anajua kwanini Kiwete alikwenda sana Marekani kabla ya uchaguzi?Sehemu kubwa sana za muhimu katika nchi hii zimeshauzwa na nyingine tumesainishwa mikataba inayodumu kwa zaidi ya miaka 80 au 90?Kiini cha tatizo ndio mpango mzima.

Huwezi kutatua tatizo kwa kutaka katiba mpya bila kujiuliza kwa nini hata ile iliyopo haitekelezwi.Kama watu wanakiuka hata mafundisho ya Mungu wao kwenye misaafu,itakuwa katiba iliyoandikwa na binadamu?

Mifumo katika sekta ya elimu,afya,madini,kilimo na viwanda imekamatwa kisawasawa na watu hawa.Huwezi kuboresha sekta hizo nilizozitaja kama una urafiki na watu hawa.Wapo waliowahi kupingana na watu hawa lakini hivi sasa hawapo kwenye uso wa dunia.Najua pia kwamba kuna udhaifu binafsi wa viongozi ambao hauchangiwi na watu hawa,lakini ukweli unabaki palepale kwamba watu hawa ndio wameshikilia sehemu kubwa muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu.

Huu ndio mfumo/utawala ulio nyuma ya pazia/dark government ambao ndio unaathiri hatua yoyote ya kimaendeleo nchini kwetu.Kikwete alijiamini sana kwamba CCM watashinda kutokana na kuahidiwa na watu hawa.

Mambo yaliyojificha yanayoonesha kwamba hawa viongozi wetu wana ujamaa na watu hawa;
1.Angalia Kikwete jinsi anavyosalimiana na Obama,halafu linganisha na Kikwete jinsi alivyo grip mkono wake na Magufuli jana.

2.Angalia Uhuru Kenyata jinsi alivyosalimiana na Obama na John Kerry.

3.Fautilia Kikwete jinsi alivyosalimiana na Uhuru Kenyata.

Haya ni kwa uchache tu.Watu wanaweza kuona kama ni maigizo,lakini haya yanaashiria kuna nguvu kubwa inayotutawala,tusipopata elimu sahihi kuhusu jambo hili tutaendelea kutawaliwa milele huku tukibaki kufanya ushabiki wa vyama vya siasa kama ilivyo kwenye soka.
Leo Hali ipoje
 
View attachment 701933

Aida Olomi akibebwa kama mzoga na askari wa jeshi la Polisi, February 16, baada ya kupigwa risasi mguuni (jeraha la risasi limezungushiwa alama). Polisi walimuokota akiwa hawezi kutembea na kumuongezea kipigo cha marungu kabla ya kumbeba na kumtupa kwenye gari. Aida na wenzie walipelekwa mahabusu kituo cha polisi Oysterbay, ambapo inadaiwa hajapatiwa matibabu yoyote na kidonda chake kimeanza kuoza. Taarifa zinaeleza kuwa Aida amegoma kula tangu jana ili kushinikiza haki yake ya matibabu.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kinondoni ACP Muliro Jumanne amekiri kuwa ni kweli jeshi hilo linawashikilia watu watatu wenye majeraha ya risasi, akiwemo Aida lakini wameshapatiwa matibabu. Hata hivyo Muliro hakutaja hospitali zilizowapa matibabu watu hao, zaidi ya kusema ni hospitali za serikali.

KeshoAida na wenzake watatimiza siku 10 mahabusu tangu wakamatwe, bila kupandishwa kizimbani. Polisi wamekataa kuwapeleka mahakamani kwa maelezo kwamba upelelezi haujakamilika, jambo ambalo ni kinyume na sheria. Polisi pia wamezuia haki ya mahabusu hao kutembelewa na ndugu na jamaa zao.!

[HASHTAG]#Justice4Aida[/HASHTAG]
Kama hii ni kweli, then serikali yetu ni ...

P
 
Back
Top Bottom