BILLY ISISWE
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 2,667
- 1,051
Humu humu JF Kwa miaka 10 tulikuwa tukilalamika kuhusu kodi, Uzembe, Wizi wa Mali za umaa. Leo rumempata MTU wa kuthibiti ujinga huo. Tunalalamika zaidi ya tulivyokuwa tunalalamika. Wafanyabiashara awaingii ikulu ovyo ovyo. Shangazi Na wajomba Na kaka Na walevi wa pombe hakuna. Rais wa Zambia alilalamika akuna via wa mvinyo ikulu