....
Then namshauri Edward Lowassa, kuwa umetimiza wajibu wako, kutaka kuwatumikia Watanzania!. Umefanya kazi yako, imekamilika!. Sasa nakuomba statement yako hii iwe ndio ya mwisho, usiendelee kulalamika popote, bali sasa nenda zako kajipumzikie kwa amani kwa kuchunga ng'ombe wako kama ulivyoahidi, tena usipeleke malalamiko yako mahali pengine popote zaidi ya kwa aliye JUU, hivyo haya meingine yote muachie Mungu!, YEYE ndiye atakulipia!. kuna mahakama ya haki kuliko mahakama zote za dunia hii, au za ulimwengu huu!, hii ni mahakama ya karma, ndio mahakama pekee ya haki bin haki!...
Kwenye karma hakuna jema na baya,concept ya wema na ubaya ni concept ya mafundisho ya kimungu.
Unajitahidi kuandika,lakini bias inakufanya ujisahau/ujichanganye.Labda nikuulize;
Unaonaje kama KARMA hiyohiyo ndio inahusika kumfanya Lowassa akose urais kutokana na matendo yake yaliyopita?Think about it.
ANGALIZO:
Mimi siegemei upande wa chama chochote,bali huwa napenda watu wapate elimu sahihi kwenye nyanja mbalimbali za kielimu ikiwamo elimu hii ya siasa.Sipendi watu wawe washabiki pasipo kuelewa msingi wa jambo.