G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,543
- 8,394
Unajua bwana watu tuliomba makanisani na misikitini,na tunaamini kiongozi yeyote anatoka kwa MUNGU na kwa makusudi mazima kwa watu wake.hvyo basi mimi binafsi naamini kua MAGUFULI ni chaguo la MUNGU na waliompigia kura hawajakosea,by the way ni watu tu kujaribu kupotezea lakini wanajua MAGUFULI ni mtu gani,tukiachana na madhaifu ya kibinadamu lakini ndo wazili pekee ambae tumekua tunaona hajawah kufeli ktk kazi,na huyu wa upande wa pili ndiye mtu ambae alihubiliwa na hawa hawa walokua wanamnadi kua alikua fisadi na hafai kua kiongozi,leo wamekuja nae kusema anatufaa sana,tunamheshimu sana huyo mzee lakini kuna mambo juu yake na walokua wakimnadi ambayo hayahitaji degree kupambanua mambo! MUNGU IBARIKI TANZANIA YANGU.
Last edited by a moderator: