Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
UKAWA hawana kura za kuibiwa.
wakubali matokeo waingie bungeni ,wajiandae kwa uchaguzi wa serikali za mitaa 2019.
Na CCM ya Magufuli sijui kama itakuwa kama CCM ya Kikwete.Wasubiri mwingine atakayekatwa 2024.