Hao akina Maria Sarungi, Fatuma Karume na Lema leo hawakutokea mahakamani. Wajinga ndio waliwao.Akina maria sarungi, lemma, lisuu na fatuma karume wanawadanganya watu wakati wao wamejificha kwenye keyboard ya computer wajitokeze wao sasa hivi hakuna.mmachinga mjinga aaache biashara zake anazofanya kwa uhuru akaandamane never
ndugu katikanchi za kiafrica unaweza kuiongelea vibaya nchi hiikweli? uhru ulionao maendeleo yaliyopo unakunywa maji unapata umeme hakuna matukio mabaya kkama somalia hebu niambie tu wewe ni baya gani ulionalo hapa nchini? nchi za kiafrica zote maskini ingawaje tunajikongoja unategemea chadema wakiingia madarakani ndiyo wataleta maajabugani tuache ushabiki wa kihuni hoTutajie maendeleo yaliyoletwa na ccm,yaani kama baada ya miaka 60,Bado mnatuambia mnataka kutuletea maendeleo nyie ni vilaza,kitu gani hicho Cha kutumia miaka 60 kuleta?
aina ya watu kama mleta uzi ndio wale wale waliokuwa waksema 'Mungu kaondoa corona tz", wao wanawaza kuwa maisha ni kujikomba na teuzi tu hata kama zinagharimu damu za wenzao.Unaangalia Wingi au Ubora bwashee?
Kipigp baba.... Watanzania awapendi tabu za kijingajinga. watangulize watoto wao kwanza ndipo na sisi tuwafute..... wacha mchezo na mirungi cha POLICEKwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.
Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.
Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Usijidanganye, ondoa majeshi utajua nani anaushawishi kati ya CCM na CHADEMACHADEMA WANATAKIWA WAJITAFAKARI WAANZE UPYA UPINZANI HAUENDI WANAVYOTAKA WAO HUO NI MFANO TU KUWA WAMESHAPOTEZA MVUTO NA USHAWISHI KWA WATANZANIA YAANI HATA ASILIMIA MOJA YA WATANZANIA HAWASAPOTI WANAYOYAFANYA WATU WACHACHE HIVYO NDIYO WANAPONGEZANA ETI WAMEFIKA ? NI UTOTO WA HALI YA JUU SANA HUO
CCM haina ushawishi kwa watu Bali jeshi linazuia kujulikana kuwa CCM hsikubaliki katika jamii yetuCHADEMA wameshindwa kutumia busara zao na akili za kuzaliwa wanajua nchi ilikuwa katika hali mbaya sana na mdororo mkubwa, huku wahanga wakubwa wakiwa ni wao na wanachama wao kwa kuwekwa ndani kwa kesi mbalimbali kwa rehma za Allah akatuletea mwanamama SSH...
Utakuwa CCM inayo simama nyuma ya jeshi kuonyesha nguvu zake fake.People need money not words.. Nani atakutatulia shida zako ukiwa huna hela Kisha unautumia huo muda kuandamana..?
Hao viongozi yakiwapata wanapitisha bakuli uwachangie! Sio ccm sio chadema they are all need money ndo maana tunawekewa mitozo ya kila namna so chagua ukasikilize kesi au utafute hela.
Wanaelimisha nini kwa hizo purukushani zao na serikali? mimi sijataka wapoe au wawe wamoto bali watumie akili ili wajue wakati gani ufanye kitu gani na kwa vp ili upate unachokipigania na sio wakati wote kuingia kwenye purukushani na serikali ili usionekane umepoa et haki yako hujavunja.Hata wakimchokonoa,ilimradi hawajavunja sheria basi ni sawa na ndio demokrasia!
CDM iwe na purukushani au isiwe nazo ilimradi hawajavunja sheria basi wanatimiza wajibu wao!Yaani mnalazimisha vyama vyote vya siasa vipoe kama TLP?Haiwezekani,waacheni wadai wanachodai kwa uhuru!.....
Lengo lako la kutaka wanasiasa wanaoangalia masilahi ya wananchi kwanza kupitia upinzani kwa kweli bado halijatimia... i mean kwa sasa hakuna mpinzani wa aina hiyo hapa Tanzania. Shibodo aliwahi kuifadhili chadema kwa kuipa mabilioni ya shilingi kwa ajili ya kujenga au kuboresha ofisi za chama hicho nchi nzima na zingine wachimbishe vizima kwa ajili ya wananchi mbali mbali katika majimbo wanayoyasimamia. Ila kilichofanyika ni tofauti na alivyotarajia mfadhili wao.Tatizo ni kuwa mambo yote yamefanywa bila kificho. Kwa akili zako za kuzaliwa unaamini kabisa kuwa CCM inapendwa kiasi ya kushinda chaguzi zote Tanzania Bara isipokuwa katika majimbo mawili tu? Na mapenzi makubwa kiasi hicho yametokea katika awamu ya tano tu? Hata katika familia zetu upendo wa hivyo haupo. nadhani Nyerere alikuwa anawazungumzia watu kama nyie
Fuvu la kubebea meno!! watu wa humu mna maneno sana asee...Hiyo ilikuwa ni kesi na sio sensa ya wanacdm. Tumia kichwa kufikiri na sio kama fuvu la kubebea meno.
Elewa hata hao kesi zao ziliitwa za kubambikiziwa #KESI ZAO ZILIHAKIKIWA KWANZA UPYA NA KUTHIBITISHWA NA NDIPO MTU ALIPOACHIWA HURU1.Hujawahi kusikia SSH akisema polisi wamekuwa wakibambikia watu kesi?
2. Hujawahi kusikia hata moja ya kesi mamia kidogo ambazo serikali na taasisi zake zikiwamo polisi wamekuwa wakibambikizia kesi.
3. Hujawahi kusikia kesi hata moja ikifutwa kwa sababu ni ya kubambikiziwa mtu?
4. Polisi walishaacha shughuli yao pendwa hii yenye maslahi makubwa kwa CCM na serikali?
5. Kesi hii ni kama hizo hapo juu. SSH anajua hivyo. Bila shaka Sirro, Muliro, wengi na hata wewe unajua hivyo.
Sasa kama hako kakikundi kadooogooooo ka wanachadema kamelazimisha mahakama ihamie video conference, kama yangekuja mafuriko, basi kesi ingefutwa kabisaaaa!Kwa wiki moja sasa Chadema walikuwa wakihamasishana kuhudhuria kwa wingi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili mwenyekiti wao Mbowe.
Kuanzia katibu mkuu wa chama John Mnyika alitokwa povu sana akiwaambia polisi liwalo na liwe maelfu ya wananchi watafurika mahakamani Kisutu siku ya tarehe 5, akaja John Pambalu mwenyekiti wa Bavicha Taifa naye akatishia nyau kuwa kuna maelfu ya wanachadema kutoka mikoa 5 watahudhuria kesi hiyo.
Leo wanachadema walioonekana wakiimba karibu na mahakama ya Kisutu hawajai hata kwenye kikanja!! Jirani yake wamachinga walikuwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
View attachment 1880704
Nadhani muda wao mwingi hawa CHADEMA wanautumia kupiga ganja. Sehemu kubwa ya mipango yao haifanani kabisa na mipango ya watu wanaotumia akili au busara ya kawaida!
Elewa hata hao kesi zao ziliitwa za kubambikiziwa #KESI ZAO ZILIHAKIKIWA KWANZA UPYA NA KUTHIBITISHWA NA NDIPO MTU ALIPOACHIWA HURU