pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,641
- 13,697
Mleta hoja nakuja kama ifuatavyo;
- CDM ina wanachama wengi mno nchi hii tena ndicho chama chenye watu wengi wasomi kuliko vyote.
- CDM imepigwa vita kubwa sana na watawala, mapolisi, na usalama lkn CDM iko palepale.
- Kilichofanya ccm na serikali yake kupiga marufuku mikutano ya hadhara ni hofu na woga dhidi ya CDM.
- Mtaji wa CDM ni kada ya wasomi (vijana kwa wazee) wanaozalishwa kila mwaka ktk sekondari za Kata.
- Mtaji wa "chama chako" ni watu wasiowaza vyema na wenye uelewa finyu.