GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,445
Ni kwamba ' Jarida ' moja ya masuala ya Kisayansi linalojihusisha na mambo ya Kijinsia na Mahusiano limesema kwamba wale Wanaume wenye Maumbile makubwa ya Uume ( Miboo / Mikuyege mikubwa ) hufa haraka ( huishi muda mfupi ) kulingana na wale Wenzao wenye Maumbile madogo ( Team Vipisi ) ambao Wao huishi maisha marefu mno.
Nadhani baada ya ' Wataalam ' hawa kusema na kulithibitisha hili kila Mwanaume aanze Kujiangalia Maumbile yake yalivyo na kama yanaendana na ' Utaalam ' huo ( wana Mikuyenge / Miboo mikubwa ) basi si vibaya wakaanza kuwatafuta Wanasheria ili wagawe Urithi mapema wakijiandaa Kufa huku wale ambao wakijiangalia wanajiona ni ' Team Vipisi ' basi nao waanze sasa Kusheherekea kwani watadumu mno maishani na ' Vipisi ' vyao.
Nawasilisha.
Nadhani baada ya ' Wataalam ' hawa kusema na kulithibitisha hili kila Mwanaume aanze Kujiangalia Maumbile yake yalivyo na kama yanaendana na ' Utaalam ' huo ( wana Mikuyenge / Miboo mikubwa ) basi si vibaya wakaanza kuwatafuta Wanasheria ili wagawe Urithi mapema wakijiandaa Kufa huku wale ambao wakijiangalia wanajiona ni ' Team Vipisi ' basi nao waanze sasa Kusheherekea kwani watadumu mno maishani na ' Vipisi ' vyao.
Nawasilisha.