UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 8,509
- 7,704
Kweli bwashee, jamaa kaondoka akiwa amechanja, tena na booster juu!Umenikumbusha Powel!
Kweli bwashee, jamaa kaondoka akiwa amechanja, tena na booster juu!Umenikumbusha Powel!
Hayupo yuko safari 😅😅😅... mfikishie ujumbe Mh. Rais Samia aliyechanja mbele ya camera na kuwashauri watanzania wachanje.
Chanjo yeyote haizuii kifo kama una "Underlying problems", hizo chanjo zote ulizodungwa kwenye mwili wako hazipo perfect 100%Kweli bwashee, jamaa kaondoka akiwa amechanja, tena na booster juu!
... safari sio kifo.Hayupo yuko safari 😅😅😅
Safari moja huanzisha nyingine!... safari sio kifo.