Kama Hayati Magufuli alikuwa anaipeleka nchi shimoni tujuzwe. Watendaji wengi aliowafurumusha wamerejeshwa huku wake wakifurumushwa

Jiwe alishasema hapangiw
Watendaji wengi ambao hayati Magufuli alikuwa akiamka ama usiku wa manane akiwafurumusha hatimaye wengi wanarejeshwa kwa kasi tena wakipanda vyeo maradufu. Kwa uchache

1. Lawrence Mafuru alifurumushwa kutoka msajili hazina kwa kupinga kuwa hakuna mkurugenzi anayelipwa milioni 15. Leo amepandishwa cheo hadi kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha ambayo hazina ipo chini yake.

2. Felschemi Mramba alifurumushwa kutoka ukurugenzi mkuu wa Tanesco leo ni katibu mkuu nishati ambayo Tanesco ipo chini yake.

3. Nape Mosses Nnauye alifurumushwa kutoka waziri wa habari na michezo. Leo kateuliwa kwenye nafasi ile ile.

Pia wapo watu wa karibu sana na hayati ambao walikuwa wakiaminika naye sana na walipewa kipaumbele huku tukiaminishwa kuwa upigaji umetokomezwa serikalini na kila fedha sasa inaenda sehemu sahihi. Cha ajabu mwaka mmoja baada ya Magufuli kufariki watu hao wamefurumushwa kwa kasi ya ajabu.

1. Uongozi wote wa wizara ya nishati na Tanesco uliokuwa umesimikwa na hayati umeondolewa na sasa wamerejeshwa wale waliokuwa wakiongoza hapo kabla. Nini tatizo?

2. Ndugu wa karibu wa hayati bwana Dotto James aliyekuwa hazina hapo kabla alihamishwa kwenda viwanda na biashara na sasa amefurumushwa kabisa. Nini tatizo?

3. Mawaziri pendwa wa hayati kina Kabudi, Kitila, Lukuvi wamefurumushwa. Hata waliobaki ni kama hawana amani.

4. Chawa wote wa hayati kwa sasa wameufyata kweli kweli kuanzia mitaani, kwenye media mpaka maofisini. Kwa ufupi ni kuwa wazee wa kutetea legacy wamepigwa ganzi vibaya mno.

Mradi pendwa wa hayati wa bwawa la umeme alilolipa jina la Nyerere unaenda kwa kusua sua mno na ni kama January Makamba hana mzuka nao. Hauongelei na wala haupi kipaumbele.

Vitambulisho vya machinga hatimaye vimezikwa na hakuna anayejishughulisha navyo tena.

Cha ajabu wakati anatumbua na kufanya haya yote msaidizi wake mkuu alikuwepo na huyo msaidizi alipochukua tu hatamu ameyabadilisha kwa kasi ya ajabu! Lipo tatizo tena kubwa. Sasa kuliko kuficha ficha moto kwa blanketi ni bora tukaambiwa mapema ikiwa hayati alibugi pakubwa.
 
Hao ndio ccm kindakindaki ,baba zao na babu zao walivuja jasho na damu kupigania ccm ,lazima watoto wao wafaidi ....


Wakati baba zao wanapigania chama ,baba yako alikuwa busy na Mambo yake ndio maana hutambuliwi kwenye mfumo

Magu alivoingia akaanza kuweka mamuruki ambao hawajui hata historia ya ccm ,mbaya zaidi hao mamruki wakawa wanawavimbia wazee wa chamaa ,kinana ,membe ,kikwete ....

Unategemea Nini kingetokea ,baada ya kuona wazee waliopigania chama wanaonewa na mamruki tu wa kawaida ,Sasa wenye chama wanarudi na hapo ikulu watakaa watoto wa wazee waliovujaa damu kupigania chama ....

Kama unaona hupendezwi na safu ya mawaziri hapo juu mlaumu baba yako kwanini hakutengeneza jina lake huko juu .....

Lazima nchi iendeshwe kwa misingi ya wazee wetu na hakuna mamruki yeyote atakayeleta ujinga wake akaishiii ....


Over

ngoja na sisi tupiganie chama chetu kwa jasho na damu...ili wajukuu zetu wale mema ya nchi
 
Mafuru alisema ana uzoefu na sekta ya kibenki kwa miaka 20 na hakuna tatizo lolote kwa serikali kuweka fedha kwenye fixed deposit...ndio mjomba ake Dotto akakosa simile.
 
Chama kimerudi kwa wenyewe mkuu...sisi Watz wa kawaida tuendelee tu kujitafutia maisha.
Mnajitaftia maisha wapi na wanyanyasaji wamerudi mitamboni sahizi mwenye hela anaweza kukufanya chochote na huna pa kujitetea maana kuanzia wizarani kumewekwa muhuni😅
 
Hahahah!!!!ngoja nimlaumu mzee
Hao ndio ccm kindakindaki ,baba zao na babu zao walivuja jasho na damu kupigania ccm ,lazima watoto wao wafaidi ....


Wakati baba zao wanapigania chama ,baba yako alikuwa busy na Mambo yake ndio maana hutambuliwi kwenye mfumo

Magu alivoingia akaanza kuweka mamuruki ambao hawajui hata historia ya ccm ,mbaya zaidi hao mamruki wakawa wanawavimbia wazee wa chamaa ,kinana ,membe ,kikwete ....

Unategemea Nini kingetokea ,baada ya kuona wazee waliopigania chama wanaonewa na mamruki tu wa kawaida ,Sasa wenye chama wanarudi na hapo ikulu watakaa watoto wa wazee waliovujaa damu kupigania chama ....

Kama unaona hupendezwi na safu ya mawaziri hapo juu mlaumu baba yako kwanini hakutengeneza jina lake huko juu .....

Lazima nchi iendeshwe kwa misingi ya wazee wetu na hakuna mamruki yeyote atakayeleta ujinga wake akaishiii ....


Over
 
Hao ndio ccm kindakindaki ,baba zao na babu zao walivuja jasho na damu kupigania ccm ,lazima watoto wao wafaidi ....


Wakati baba zao wanapigania chama ,baba yako alikuwa busy na Mambo yake ndio maana hutambuliwi kwenye mfumo

Magu alivoingia akaanza kuweka mamuruki ambao hawajui hata historia ya ccm ,mbaya zaidi hao mamruki wakawa wanawavimbia wazee wa chamaa ,kinana ,membe ,kikwete ....

Unategemea Nini kingetokea ,baada ya kuona wazee waliopigania chama wanaonewa na mamruki tu wa kawaida ,Sasa wenye chama wanarudi na hapo ikulu watakaa watoto wa wazee waliovujaa damu kupigania chama ....

Kama unaona hupendezwi na safu ya mawaziri hapo juu mlaumu baba yako kwanini hakutengeneza jina lake huko juu .....

Lazima nchi iendeshwe kwa misingi ya wazee wetu na hakuna mamruki yeyote atakayeleta ujinga wake akaishiii ....


Over

Kwa hiki ulichokiandika basi wanaostahili tena kwa kukaa mstari wa mbele kabisa ni the Nyerere’s.Hawa wengine washukuru tu Mapenzi ya Mungu yalitimizwa.
 
Hakuna kiongozi ambaye angeweza kuiendesha nchi the way Magufuli alivyotaka ilikua ni ngumu kuendeleza pale alipopaacha maana alijitengenezea mifumo yake binafsi na watu wake binafsi kwahyo ilibidi SSH atengeneze mifumo rahisi kwa watu wote.
 
Bana all in all mimi tu nina furaha sana, watu tuliishi kwa hofu, kutishana kila siku kama tupo vitani,, wakati maisha ni haya haya tu, maisha yetu mafupi tu kwann tutishane na tuache kufurahia? Hata kama naishi kwa kunywa uji tu na familia yangu ndani nalala kwa amani, poa sana

Me nachoelewa hii nchi watu asilimia kubwa wana furaha!! Wanaolalamika wengi ni wale chawa wa mwendazake waliokuwa wanafurahia watu kuteswa, kuumizwa na kupotezwa!!

Ila Karma is a bitch!! Wengi wao Mungu kashawalila sawa sawa na matendo yao!! Bado mmoja aliyekuwa anajiita mungu dar es salaam🤣🤣🤣🤣

Amani na Furaha unayo wewe na mafisadi wenzako…dawa yenu ipo jikoni…JPM anaweza akawa ameondoka lakini aliemuweka anaishi yupo hai..jinsi watu wanavyoteseka mtaani mnavyowanyanyasa katika kujipatia kipato chao na huku mikopo mnayoweka mfukoni wakati tunakosa huduma za msingi…nature will take the predator out na CCM nyie your time is up

Furahia sasa while it last…wewe mshamba tu na limbukeni wa madaraka..
 
Kwa hiki ulichokiandika basi wanaostahili tena kwa kukaa mstari wa mbele kabisa ni the Nyerere’s.Hawa wengine washukuru tu Mapenzi ya Mungu yalitimizwa.
Mwenye akili timamu pale wewe inamuona ni nani?Nyerere mwenyewe alikuwa remote ya kanisa katoriki.
 
Amani na Furaha unayo wewe na mafisadi wenzako…dawa yenu ipo jikoni…JPM anaweza akawa ameondoka lakini aliemuweka anaishi yupo hai..jinsi watu wanavyoteseka mtaani mnavyowanyanyasa katika kujipatia kipato chao na huku mikopo mnayoweka mfukoni wakati tunakosa huduma za msingi…nature will take the predator out na CCM nyie your time is up

Furahia sasa while it last…wewe mshamba tu na limbukeni wa madaraka..

Masukuma ndo mashamba na malimbukeni mlijua hii nchi itakuwa yenu,

Enzi yenu ndo kwishney!! Viroboto nyie!!
 
Amani na Furaha unayo wewe na mafisadi wenzako…dawa yenu ipo jikoni…JPM anaweza akawa ameondoka lakini aliemuweka anaishi yupo hai..jinsi watu wanavyoteseka mtaani mnavyowanyanyasa katika kujipatia kipato chao na huku mikopo mnayoweka mfukoni wakati tunakosa huduma za msingi…nature will take the predator out na CCM nyie your time is up

Furahia sasa while it last…wewe mshamba tu na limbukeni wa madaraka..
hivi kamasi zako hazikufai ujinyongeeeeeeee!.
 
Ndio maana Msukuma aliwa suck out ili kuwaonesha kuwa wao sio ishu yani japo wazazi wao walikuwa kwenye system. Yani akili zao zilikuwa zile zile kama za watoto wa line police kufanya uhalifu na kujificha kwenye migongo ya baba zao.

Sasa zile hasira za kutupwa nje ndio iliwauma na mbaya zaidi walikuwa hawana la kufanya maana hata watetezi wao (washua) pia walikuwa wanapewa za uso kila wakienda kupenyeza vimemo.

Sasa ndio wana ahueni walau wamerudishwa kwenye system maana Meko angekuwepo still wangekuwa wanatubu mpaka sahizi. Kuondoka kwake ulimwenguni ndio chance yao kutamba. Maana wamepata mbeleko ya binti wa kikojani 😅!
Jiwe aliwapa za uso haswa yaani washukuru tu kazima ila chamoto walikiona.
Swaumu anaokota anarudisha.
 
hivi kamasi zako hazikufai ujinyongeeeeeeee!.

Sina hasira hizo za kishamba aisee…mimi sio politician I don’t deal with politicians..because they lie, they tell you lies… eti nitakufanyia hiki wakati anaekupatia ni Mungu…put the right people to make life easy for other human beings…don’t put selfish beings…who thinks for no one but themselves my friend…hii dunia ni yetu wote my friend WAKE UP

Be real
 
Hao ndio ccm kindakindaki ,baba zao na babu zao walivuja jasho na damu kupigania ccm ,lazima watoto wao wafaidi ....


Wakati baba zao wanapigania chama ,baba yako alikuwa busy na Mambo yake ndio maana hutambuliwi kwenye mfumo

Magu alivoingia akaanza kuweka mamuruki ambao hawajui hata historia ya ccm ,mbaya zaidi hao mamruki wakawa wanawavimbia wazee wa chamaa ,kinana ,membe ,kikwete ....

Unategemea Nini kingetokea ,baada ya kuona wazee waliopigania chama wanaonewa na mamruki tu wa kawaida ,Sasa wenye chama wanarudi na hapo ikulu watakaa watoto wa wazee waliovujaa damu kupigania chama ....

Kama unaona hupendezwi na safu ya mawaziri hapo juu mlaumu baba yako kwanini hakutengeneza jina lake huko juu .....

Lazima nchi iendeshwe kwa misingi ya wazee wetu na hakuna mamruki yeyote atakayeleta ujinga wake akaishiii ....


Over
Thread closed
 
Ulieleta bandiko,sababu za kutolewa nape kwenye habari ulikua ni Nini? Alifanya lipi baya tuambie!!!
 
Hao ndio ccm kindakindaki ,baba zao na babu zao walivuja jasho na damu kupigania ccm ,lazima watoto wao wafaidi ....


Wakati baba zao wanapigania chama ,baba yako alikuwa busy na Mambo yake ndio maana hutambuliwi kwenye mfumo

Magu alivoingia akaanza kuweka mamuruki ambao hawajui hata historia ya ccm ,mbaya zaidi hao mamruki wakawa wanawavimbia wazee wa chamaa ,kinana ,membe ,kikwete ....

Unategemea Nini kingetokea ,baada ya kuona wazee waliopigania chama wanaonewa na mamruki tu wa kawaida ,Sasa wenye chama wanarudi na hapo ikulu watakaa watoto wa wazee waliovujaa damu kupigania chama ....

Kama unaona hupendezwi na safu ya mawaziri hapo juu mlaumu baba yako kwanini hakutengeneza jina lake huko juu .....

Lazima nchi iendeshwe kwa misingi ya wazee wetu na hakuna mamruki yeyote atakayeleta ujinga wake akaishiii ....


Over
Kwahiyo nchi Ina wenyewe siyo

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom